UKAWA wamjibu Magufuli kuhusu kutofanya siasa, wasema wataendelea kwa kuwa katiba inawaruhusu

Hata kama wapinzani wasipofanya mikutano ya siasa mpaka 2020, nina uhakika Mh. hataweza kutimiza hata 40% ya zile ahadi. (kumbuka mheshimiwa kasema mikutano hii ndo kikwazo cha kutimiza ahadi).
 


Mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni amepinga vikali kitendo cha Magufuli kuzuia watu kusema, amesema unapozuia watu kusema unasababisha watu kusema kwa vitendo na wakisema kwa vitendo, vitendo hivyo vinakuwa vya uvunjifu wa amani.

Ameshangaa pia kiongozi huyo aliposema kuwa atawalinda marais wastaafu kwani marais wastaafu wanalindwa na katiba wala sio kauli zake, amemtaka aache kuropoka kwani kauli zake zinalifarakanisha taifa.

kwa mara ya kwanza toka niufahamu upinzani wa kisiasa Tanzania katika mfumo wa vyama vingi,leo hii viongozo hao wameongea 'alama kubwa',wamesema busara badala ya mihemko,wamesema vema kuliko wakati wote ule niliowahi kuwashuhudia wakiwa pamoja kama hivi,ila kingine nadhani ni muhimu wakavuta subra kupisha kipindi hiki cha mpito kuisha kwani naamini bado wananafasi ya kuishauri serikali na ikawasikiliza,ni vema wakakubali kile serikali inawataka kufanya ili kupisha msuguano baina yao na serikali kwani siku zote serikali a kiafrika huwa hazikubali kushindwa kirahisi hivyo,hivyo wakitulia,wakaacha kufanya mikutano time hii,nauhakika wao ndio watakuwa washindi wa baadaye wa hii changamoto,vinginevyo ni kutaka kutafuta umaarufu wa machafuko ya kisisa na kushiana heshima katika jamii
 
Hujitambui na hata ukiambiwa bajeti mbovu huelewi kwa sababu uwezo wako wa kuelewa ubovu wa bajeti ni finyu sana. Umewachoka wewe na nani? acha kukurupuka na kujibaraguza.
Hata bajeti mnayolilia sijajua kama imewahi pitishwa ya upinzani. Maana sisi kazi ya kuongea ni kawaida. Tungekuwa mle leo wangesema wanatumia bajeti ya upinzani na mwisho wanakataa.

Hakuna haja ya kupingana katika haya. CCM imechukuwa nchi na inaongoza kwa Ilani yake. kama wasipofikia yanayotakiwa 2020 watakipata.
 
Ukawa kwa nini hamtaki kufanya maendeleo nyie mnataka siasa muda wote? Maendeleo mnafanya saa ngapi?
 
Mbowe is a big failure. Mtu anabadili gia angani na kuleta mafisadi aliotuaminisha miaka mia. Pathetic kabisa, Magu fanya kazi achana na hawa wapiga domo.
Huwa anaona tumemsahau. Kesho watasema bajeti yao ndo inatumika wakati wanaandika matusi na kejeli.

Waache CCM na Ilani yao.
 
Hahaha Mch Msigwa amesema wazi kuwa Rais Magufuli alishinda kwa kura Million 8 dhidi ya Kura million 6 za kwao.
Aisee hapa Mch nimekubali kwa kusema ukweli!
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Duh.........hivi hili Taifa ipo siku litakaa litulie kweli, nadhani ninaeleweka ninaposema "litulie" vile ninavyoona ni kama joto la kisiasa linapanda kwa kasi sana, wengine wanataka kusema, wengine wanagoma watu wasiseme.
Litulie. Tulia. Analituliza Bunge. Na siye TULIE.......
 
JK aliitwa dhaifu tena ndani ya bunge,JPM atawanyoosha tena watanyoka kama rula.
Mbowe ukitangaza maandamano tafadhali wewe na wenzako mnaopeana viti maalum na unaokula nao ruzuku muwe viongozi wa hayo maandamano.
 
Duh.........hivi hili Taifa ipo siku litakaa litulie kweli, nadhani ninaeleweka ninaposema "litulie" vile ninavyoona ni kama joto la kisiasa linapanda kwa kasi sana, wengine wanataka kusema, wengine wanagoma watu wasiseme.
Kama misri wametulia nasi tutatulia haya ni mawimbi tu.
 
kwa mara ya kwanza toka niufahamu upinzani wa kisiasa Tanzania katika mfumo wa vyama vingi,leo hii viongozo hao wameongea 'alama kubwa',wamesema busara badala ya mihemko,wamesema vema kuliko wakati wote ule niliowahi kuwashuhudia wakiwa pamoja kama hivi,ila kingine nadhani ni muhimu wakavuta subra kupisha kipindi hiki cha mpito kuisha kwani naamini bado wananafasi ya kuishauri serikali na ikawasikiliza,ni vema wakakubali kile serikali inawataka kufanya ili kupisha msuguano baina yao na serikali kwani siku zote serikali a kiafrika huwa hazikubali kushindwa kirahisi hivyo,hivyo wakitulia,wakaacha kufanya mikutano time hii,nauhakika wao ndio watakuwa washindi wa baadaye wa hii changamoto,vinginevyo ni kutaka kutafuta umaarufu wa machafuko ya kisisa na kushiana heshima katika jamii
True mkuu, mwenyewe Mbowe nimemuona yupo smarter na wiser kuliko Magufuli japokuwa yeye hana Phd
 
Ukawa acheni maneno kama mpo serious ingieni mtaani ili tuone kama JPM anaropoka. Wodi ya mifupa siku hizi ugali bure msiogope
 
Back
Top Bottom