Mbukwa2015
Senior Member
- Aug 27, 2015
- 121
- 55
Hawana nia njema na watanzania wenyonge
Hawana nia njema na watanzania wenyonge
Narudia usichanganye siasa na afya kwa sababu utachemka.
Kwa maoni yako kipindupindu kimesababishwa na siasa mbaya za ccm?ina maana katika eneo kubwa la nchi ambalo halijapata kipindupindu basi kuna siasa safi za ccm?
Hiyo ndio conclusion uliyonayo...ndio maana nikakupa mifano ya magonjwa mengine yanayohusianishwa na Tabia na hali za kiuchumi na kukuonesha trends za magonjwa hayo.
Kama unachukulia sekta husika hazijafanya kazi kwa nini hujasikia kipindupindu Arusha au Mwanza au masaki mpaka sasa?
Ifike wakati tutenganishe siasa na utaalamu...hata USA na UK survellance ya kipindupindu inaendelea na haitashangaza kusikia kuna mlipuko wa kipindupindu.
Magufuli kaongelea afya kuhusu upatikanaji wa dawa...ni kweli dawa zinaibiwa especially katika level ya zahanati na vituo vya afya.
lakini kama ni mfuatiliaji Ilani ya CCM inaongelea kiuhalisia zaidi kuhusu universal coverage ya bima za afya,inaeleza kwa sasa tuko less than 20% na inaelekeza kuwa tunatakiwa kufika 30%,hizi ndio issues za Siasa ya Afya lakini ulivyokiongelea kipindupindu ulichanganya Afya na Siasa.
Kwahiyo dr mo lowassa na timu yake kwa akili na imani yk akiwa rais ndo atabadilisha hayo usemayo?alikuwa waziri mkuu na ameshika nyadhifa nyingi sana serikalini,ni lini alikemea au kubadilisha hayo usemayo?kuwa mkweli acha blah blah
Kha maccm mnachekesha kwel hiv maguful na samia sululu wanapiga kampeni za kutaka kwenda wap? Mbingun? Au wap vile? Halaf hii tabia ya kutishia watu oo wapinzan wataondosha aman mkome kabisa! Aman nchi hii haipo kwa malofa bali kuna uvumilivu tu! Warudishen hawa maskin nyumban kwao jana wamelala kisesa baada ya katibu wa ccm wilaya ya magu kuwatoroka
Hapana si spellings ni upumbavu na pia kuchafuliwa kwa Kiswahili na wanaojidai wazalendo kumbe hata uzalendo wa lugha yao ya taifa unawashinda.