Elections 2015 UKAWA ni Genge hatari kwa amani, utulivu na maslahi mapana ya Tanzania

Mimi nilikuwa muumini makini wa Chama makini cha upinzani kilichojijenga taratibu mpaka kuonekana kuwa pengine kinaweza kuwa mbadala wa CCM.

CHADEMA ilikuwa taratibu bila misukosuko mingi mpaka pale kilipoanza kuonekana pengine kinaweza kuwa mbadala wa CCM.

Wananchi walianza kazi kwa umakini kabisa wa kuipa chadema majimbo ya ubunge kadhaa na serikali za mitaa.

Wananchi walianza kuitambua na kuisaidia chadema kwa michango ya kadiri mbalimbali.

Ni maumivu makali kwa CHADEMA kupoteza focus na kutaka kukimbilia kile ambacho wananchi hawakukiandaa au kukipanga kwa ajili yao.

Hii ina maana Chadema itarudi miaka 20 nyuma na mbaya zaidi kuiacha Tanzania bila mbadala wa Chama bora cha upinzani.

KUHUSU GENGE LA UKAWA:

Itoshe kusema kuwa UKAWA ni genge hatari sana kwa usalama na Ustawi wa Taifa letu kwa sababu au chambuzi zifuatazo:

1 - Edward Lowassa:
Yuko serious katika kuutaka urais na alipenda kwa udi na uvumba kuupata urais kupitia ccm ingawa ilishindikana iwe kwa fitina au kwa kukosa vigezo. Huyu yuko Ukawa kwa lengo la urais tu na anaitumia chadema kama chombo cha kuupata urais. Anaweza akawa na sababu zake lakini sitajadili kwa leo. Lakini haipendi Chadema au UKAWA.

2 - Maalim Seif na CUF:
Huyu naye ni mtaka urais tu lakini anaweza kuwa na ajenda yake ile ile iliyobebwa na CUF Zanzibar yaani kuitaka Zanzibar huru. Alitulizwa baada ya kupewa cheo lakini baada ya vuguvugu la katiba na shinikizo la kichama amejikuta akianza chokochoko upya.

Pia tusisahau CUF inaungwa mkono na makundi kama yale ya uamsho kiasi cha kumfanya mgombea urais wa UKAWA kutamka hadharani kuwa atawaachia huru watuhumiwa wa ugaidi.

3 - CHADEMA Asilia na Maslahi:
Kuna kundi la wanachadema walio serious na kutaka mabadiliko ya kweli.kundi hili limekatishwa tamaa na mambo makubwa mawili yaliyotokea yaani kumpokea lowassa bila maelezo ya kueleweka na kumpa kijiti cha kugombea urais,pili kukatwa kwa Dr Slaa na kutothaminiwa kwa mchango wake ndani ya Chadema.

Chadema maslahi ni kina Mbowe na washkaji kibao kutoka pande za Arusha na Moshi. Hawa wako kimaslahi zaidi, Issue kwao ni chama kinaingizaje fedha au mikutano inaingizaje fedha au nguo na adverts za chama zinaingizaje fedha. Hawa wanaendesha Chadema kama kamati ya harusi za kichaga.

4 - Team Lowassa, Ulipo tupo na 4UMovement:
Hili ni genge ndani ya genge! Katika kundi hili kuna watoto wa kishua wanaosubiri kupiga dili kama za watoto wa vigogo.

Katika kundi hili kuna waliokosa ajira na fursa na hivyo kujishikiza kwa lowassa ili ikitokea kapata na wao watoke(hawajui uhuni wa mwanasiasa)

Katika kundi hili kuna watoto ambao wako tu kwenye age yao ya 'fantancy' na kuburudika na maisha.

5 - WanaCCM viongozi waliomfuata Lowassa:
Hapa kuna mchanganyiko wa waliokatwa kwa kuwa ni makapi haswa. Pia wako walioshtukia dalili za kukosa wakigombea kupitia CCM(Lembeli).

Pia wapo wanaojaribu kuibuka upya kwa mgongo wa Lowassa. Humu pia kuna mashushu kutoka CCM.

6 - NCCR na Mbatia na NLD:
Hili ni kundi lisilojielewa linahitaji nini. Mbatia anaweza kuwa ni mpiga dili flani hivi na pia baada ya kuonja ubunge wa kuteuliwa anatamani angepata ubunge ili aweke mambo sawa.

7 - Wanaharakati na waandishi:
Hawa wako katika kutegemea nafasi za kuteuliwa kama ilivyozoeleka huku wakisahau kuna vijana wengi na wenye weledi. Wengi wao wameumizwa na tendo la CCM kukata na kuvunja makundi na option waliyobakiwa nayo ni kujipendekeza UKAWA.

8 - Wafanyabiashara:
Hawana uhakika kabisa wa EL kushinda nje ya CCM na wamebaki kuuma na kupuliza.
Ingawa kuna wachache bado wanagamble kuendelea kuamini katika EL kuchukua kijiti.

9 - Wachungaji/Maaskofu:
Ni wachache na wanajaribu kutumia karata ya zamu ya mlutheri lakini kimsingi wanataka kutetea matumbo yao tu.


Ukiwa na genge la namna hii na likiwa halina uongozi au miongozo inayoeleweka utakuwa unaongelea nchi iliyoanguka. Ni lazima genge hilo lipate Kiongozi na Muongozo kwanza ndio ufikirie kuwapa nchi.

we na mumeo wote mchepuko
 
Liwalo na liwe,wananchi washalishwa unga wa ndwele hakuna namna, huu ujinga wa kuwapumbaza wananchi limefika kikomo, bye bye ccm
 
mimi nilikuwa muumini makini wa chama makini cha upinzani kilichojijenga taratibu mpaka kuonekana kuwa pengine kinaweza kuwa mbadala wa ccm.

Chadema ilikuwa taratibu bila misukosuko mingi mpaka pale kilipoanza kuonekana pengine kinaweza kuwa mbadala wa ccm.

Wananchi walianza kazi kwa umakini kabisa wa kuipa chadema majimbo ya ubunge kadhaa na serikali za mitaa.

Wananchi walianza kuitambua na kuisaidia chadema kwa michango ya kadiri mbalimbali.

Ni maumivu makali kwa chadema kupoteza focus na kutaka kukimbilia kile ambacho wananchi hawakukiandaa au kukipanga kwa ajili yao.

Hii ina maana chadema itarudi miaka 20 nyuma na mbaya zaidi kuiacha tanzania bila mbadala wa chama bora cha upinzani.

Kuhusu genge la ukawa:

Itoshe kusema kuwa ukawa ni genge hatari sana kwa usalama na ustawi wa taifa letu kwa sababu au chambuzi zifuatazo:

1 - edward lowassa:
yuko serious katika kuutaka urais na alipenda kwa udi na uvumba kuupata urais kupitia ccm ingawa ilishindikana iwe kwa fitina au kwa kukosa vigezo. Huyu yuko ukawa kwa lengo la urais tu na anaitumia chadema kama chombo cha kuupata urais. Anaweza akawa na sababu zake lakini sitajadili kwa leo. Lakini haipendi chadema au ukawa.

2 - maalim seif na cuf:
huyu naye ni mtaka urais tu lakini anaweza kuwa na ajenda yake ile ile iliyobebwa na cuf zanzibar yaani kuitaka zanzibar huru. Alitulizwa baada ya kupewa cheo lakini baada ya vuguvugu la katiba na shinikizo la kichama amejikuta akianza chokochoko upya.

Pia tusisahau cuf inaungwa mkono na makundi kama yale ya uamsho kiasi cha kumfanya mgombea urais wa ukawa kutamka hadharani kuwa atawaachia huru watuhumiwa wa ugaidi.

3 - chadema asilia na maslahi:
kuna kundi la wanachadema walio serious na kutaka mabadiliko ya kweli.kundi hili limekatishwa tamaa na mambo makubwa mawili yaliyotokea yaani kumpokea lowassa bila maelezo ya kueleweka na kumpa kijiti cha kugombea urais,pili kukatwa kwa dr slaa na kutothaminiwa kwa mchango wake ndani ya chadema.

Chadema maslahi ni kina mbowe na washkaji kibao kutoka pande za arusha na moshi. Hawa wako kimaslahi zaidi, issue kwao ni chama kinaingizaje fedha au mikutano inaingizaje fedha au nguo na adverts za chama zinaingizaje fedha. Hawa wanaendesha chadema kama kamati ya harusi za kichaga.

4 - team lowassa, ulipo tupo na 4umovement:
hili ni genge ndani ya genge! Katika kundi hili kuna watoto wa kishua wanaosubiri kupiga dili kama za watoto wa vigogo.

Katika kundi hili kuna waliokosa ajira na fursa na hivyo kujishikiza kwa lowassa ili ikitokea kapata na wao watoke(hawajui uhuni wa mwanasiasa)

katika kundi hili kuna watoto ambao wako tu kwenye age yao ya 'fantancy' na kuburudika na maisha.

5 - wanaccm viongozi waliomfuata lowassa:
hapa kuna mchanganyiko wa waliokatwa kwa kuwa ni makapi haswa. Pia wako walioshtukia dalili za kukosa wakigombea kupitia ccm(lembeli).

Pia wapo wanaojaribu kuibuka upya kwa mgongo wa lowassa. Humu pia kuna mashushu kutoka ccm.

6 - nccr na mbatia na nld:
hili ni kundi lisilojielewa linahitaji nini. Mbatia anaweza kuwa ni mpiga dili flani hivi na pia baada ya kuonja ubunge wa kuteuliwa anatamani angepata ubunge ili aweke mambo sawa.

7 - wanaharakati na waandishi:
hawa wako katika kutegemea nafasi za kuteuliwa kama ilivyozoeleka huku wakisahau kuna vijana wengi na wenye weledi. Wengi wao wameumizwa na tendo la ccm kukata na kuvunja makundi na option waliyobakiwa nayo ni kujipendekeza ukawa.

8 - wafanyabiashara:
hawana uhakika kabisa wa el kushinda nje ya ccm na wamebaki kuuma na kupuliza.
Ingawa kuna wachache bado wanagamble kuendelea kuamini katika el kuchukua kijiti.

9 - wachungaji/maaskofu:
ni wachache na wanajaribu kutumia karata ya zamu ya mlutheri lakini kimsingi wanataka kutetea matumbo yao tu.


Ukiwa na genge la namna hii na likiwa halina uongozi au miongozo inayoeleweka utakuwa unaongelea nchi iliyoanguka. Ni lazima genge hilo lipate kiongozi na muongozo kwanza ndio ufikirie kuwapa nchi.

rubbish,poor
 
ningekuona mtu wa maana ka ungekuwa unautaarfu umma ubadhilifu wa chama cha mapinduz kilichowafunga wananch kwenye miamba ya umaskin,,watoto wa wapiga kura wanashindia mlo mmoja matumbo yamewavimba ka mimba ya mbuz huk utajr wa nch unatumika kujenga majumba ya kifahal nje ya mipaka ya tanzania na,magar ya kifahal..haya ndo mambo ya kuwambia wananch na sio kuleta ushabik na hisia.STOP EXISTING START LIVING
 
We faizafoxy wee, hebu sikiliza hotuba za magufuli wakati huu wa kampeni ndo utajua raisi wako mtarajiwa akiongea kiswahili, mbona humkosoi, kwenye r anaweka l, lakini tunanyamaza tunaelewa kakusudia nini,

Hilo la Magufuli nimeshalijubu humu humu JF, tafuta jibu, utalikuta.
 
Tafadhar mkuu tunaomba usituvurugie aman yetu kwa kuleta umbeya na maneno ya kichonganishivhum ndan nyinyi ndio wale mnaotumika vibaya kuichafua UKAWA muwe na aibu jaman kuwen na hofu ya Mungu kwa maneno yenu ya kijinga...
 
Mawazo hayo ndio Democracia unahaki ya kuandika kilichopo ndani ya Ubongo wako kwa ajili ya lengo lako
 
Ungesema kwa Maslahi Mapana ya MaCCM Watanzania Wangekuelewa. CCM ya Leo No Kirusi Hatari Sana...Hatudanganyiki Tunakwenda Name Mh. Lowassa Hanna Namna Iwayo yoyote.

Vijana tumezid mihemko,tutafakari na tusiwe na akili za kufilikiwa. Nilishangaa waliposema ajira milioni 10. Ulaya kwenyew wana tatizo la ajira.
 
Ndg meningitis,kwa taarifa tu ni kuwa lowassa na wafuasi wake wote wapo kila kona hasa kwenye tasnia nzm ya hbr,blogs,forums mbalimbali na vyombo vyote vya hbr vimetekwa na huyu ndg,lengo kuu ni kumsafisha na kupinga kila lisemwalo hasa likiwa nje au linapopingana na ndg lowassa na wengi wao ni hayo makundi uliyoyasema wao wapo tayari kwa lolote alimradi lowassa apate madaraka kivyovyote vile.
Suala la uadilifu ktk uongozi kwao its not an issue anymore,wanataka Mabadiliko no matter what,hivyo kuelezea udhaifu na shortfalls za cdm na ukawa na ni kupoteza muda na utapingwa sana,imani yao ni kuwa lowassa akiingia madarakani maisha yao yatabadilika kwasababu wengi wao wako hoi na wana tamaa ya maisha makubwa,wanaamini lowassa atabadili maisha yao kutoka ktk shida walizo nazo na kuwa matajiri,kiufupi wengi wao wana akili za nyumbu hivyo ht usemaje ni kz bure unapoteza muda wako

Mkuu umenena,mi siwezi kushabikia kitu ambacho sikielewi kabisa.. Vijana baada ya kufanya kazi hivi unafikiri atakusaidia ww. Hamtaki shule angalia current situation ya wanafunzi wetu. Elimu bure pesa anazitoa wapi.?Elimu ya chuo ni gharama tofauti na level za O level.Tafakari mtanzania na ufanye maamuzi sahihi.
 
vijana wa ccm wote timamu!!!wamejengwa hivyo kwani lazima kila kitu uhoji!!!c cdm chama cha mtu!!!!ukisema ohoo nenda lumumba!!!!!tafakalini kabla ya kuchukua hatua!!!taifa kwanza utapel wenu baadae
 
Hii nchi ni ya watz kwaiyo chama chochote kina haki ya kuongoza taifa ,hakuna chama chenye hatimiliki ya kuongoza taifa hili milele
 
Mtoa mada ni kweli unachosema lakini mm sitak kuona hz rang mbl k..... Na n.....,kura yangu kwa Mabadilikooooooooooooooooooooo!!!
 
Mkuu umenena,mi siwezi kushabikia kitu ambacho sikielewi kabisa.. Vijana baada ya kufanya kazi hivi unafikiri atakusaidia ww. Hamtaki shule angalia current situation ya wanafunzi wetu. Elimu bure pesa anazitoa wapi.?Elimu ya chuo ni gharama tofauti na level za O level.Tafakari mtanzania na ufanye maamuzi sahihi.

Hela za mashangingi na za xkro zingewekwa kwny Elm ingekuaje,acha kupotosha umma
 
Kwa kweli kuna watu wajinga sana duniani post gani hii unaweza kuiweka kwenye mitandao ya kijamii? Poor post never seen
 
Back
Top Bottom