Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Maslahi mapana ya nchi hii ni haya hapa:
1. Ukosefu wa maji wakati maziwa ni mito nchini ni bwelele?
2. Kulipia umeme wakati kimsingi hulipii ukeme bali unalipia mishahara ya EWURA?
3. Wananchi kufanywa wajinga kwa kupewa ahadi zisizotekelezeka?
4. Mawazo mmgando?
5. Wananchi kuambiwa watafanyiwa hiki wakati zaidi ya miaka 50 walishaambiwa lakini mpaka sasa hawajatekelezewa?
Au sijakuelewa?
1. Ukosefu wa maji wakati maziwa ni mito nchini ni bwelele?
2. Kulipia umeme wakati kimsingi hulipii ukeme bali unalipia mishahara ya EWURA?
3. Wananchi kufanywa wajinga kwa kupewa ahadi zisizotekelezeka?
4. Mawazo mmgando?
5. Wananchi kuambiwa watafanyiwa hiki wakati zaidi ya miaka 50 walishaambiwa lakini mpaka sasa hawajatekelezewa?
Au sijakuelewa?