Elections 2015 UKAWA ni Genge hatari kwa amani, utulivu na maslahi mapana ya Tanzania

Mtaji huo ccm haukubaliki tena tafuteni mtaji. Yaengine uvunjifu wa amani hukunaiba kila kitu rejeauba ya kinana jana moshi na mnukuu ccm kuna kasoro nyingi tuna mijitu ovyoo tuna wezi tuna majambazi hu sasamo na kuna watu wanafiki ndani ya ccm alisema kinana mwisho wa kunuu
 
"CCM mkitaka #KURA yangu semeni ukweli nani anahusika na hizi tuhuma? na wahusika wamechukuliwa hatua gani?
-Katiba pendekezwa nani aliyaondoa maoni ya wananchi ambayo yalikuwepo kwenye rasimu ya Warioba?
-Mabehewa feki
-Kiwira
-Richmond
-Epa
-Escrow
-Epa
-Dowans
-IPTL
-NET GROUP SOLUTIONS
-Usafirishaji wa wanyama nje ya nchi mfano twiga alipandaje ndege?
-Biashara ya pembe za ndovu
-Biashara ya madawa ya kulevya
-Meremeta
-Mikataba ya gesi na mafuta
-Uuzwaji wa nyumba za serikali
Nahitaji majibu ya hayo maswali siyo porojo tuuuuu.Ccm Slaa anaimaliza, mtakuja kulaumiana kwa sababu ya Huyu SLAA.
 
Narudia usichanganye siasa na afya kwa sababu utachemka.

Kwa maoni yako kipindupindu kimesababishwa na siasa mbaya za ccm?ina maana katika eneo kubwa la nchi ambalo halijapata kipindupindu basi kuna siasa safi za ccm?
Hiyo ndio conclusion uliyonayo...ndio maana nikakupa mifano ya magonjwa mengine yanayohusianishwa na Tabia na hali za kiuchumi na kukuonesha trends za magonjwa hayo.

Kama unachukulia sekta husika hazijafanya kazi kwa nini hujasikia kipindupindu Arusha au Mwanza au masaki mpaka sasa?

Ifike wakati tutenganishe siasa na utaalamu...hata USA na UK survellance ya kipindupindu inaendelea na haitashangaza kusikia kuna mlipuko wa kipindupindu.

Magufuli kaongelea afya kuhusu upatikanaji wa dawa...ni kweli dawa zinaibiwa especially katika level ya zahanati na vituo vya afya.

lakini kama ni mfuatiliaji Ilani ya CCM inaongelea kiuhalisia zaidi kuhusu universal coverage ya bima za afya,inaeleza kwa sasa tuko less than 20% na inaelekeza kuwa tunatakiwa kufika 30%,hizi ndio issues za Siasa ya Afya lakini ulivyokiongelea kipindupindu ulichanganya Afya na Siasa.
Unajua ni aibu na ajabu sana dar kuwa na kipindu pindu naona unaongelea kama jambo la kawaida na mzaha, ndo maana tunataka mabadiliko ili hii mizaha na kuchukulia mambo poa ikome..
alafu ccm mnapenda statistics sana wakati hali halisi haipo hivyo, hayo ya bima ya afya tuyaache maana ni is a whole lot of new discussion.
inakuwaje dawa zinaibiwa SANA lakini hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa na serekali ya ccm..!? Or vice versa ni kwamba hakuna dawa zinazopelekwa zaidi ya muhimbili na hospitali mbili tatu kubwa..?!
pale temeke kuna kipindi watoto wanakufa hodi ya watoto pale kwa umeme kukatika, na kukosa umeme wa kurun oxygen concetrator ambazo zilitolewa msaada na NMB, hospitali kama temeke inakosa standby generator la milioni 5 tu, kwa miaka 54, hizi discussion za mambo ya afya na kushindwa kwa ccm tuziache maana ni aibu hata mambo mengine kusema
 
Mimi nilikuwa muumini makini wa Chama makini cha upinzani kilichojijenga taratibu mpaka kuonekana kuwa pengine kinaweza kuwa mbadala wa CCM.

CHADEMA ilikuwa taratibu bila misukosuko mingi mpaka pale kilipoanza kuonekana pengine kinaweza kuwa mbadala wa CCM.

Wananchi walianza kazi kwa umakini kabisa wa kuipa chadema majimbo ya ubunge kadhaa na serikali za mitaa.

Wananchi walianza kuitambua na kuisaidia chadema kwa michango ya kadiri mbalimbali.

Ni maumivu makali kwa CHADEMA kupoteza focus na kutaka kukimbilia kile ambacho wananchi hawakukiandaa au kukipanga kwa ajili yao.

Hii ina maana Chadema itarudi miaka 20 nyuma na mbaya zaidi kuiacha Tanzania bila mbadala wa Chama bora cha upinzani.

KUHUSU GENGE LA UKAWA:

Itoshe kusema kuwa UKAWA ni genge hatari sana kwa usalama na Ustawi wa Taifa letu kwa sababu au chambuzi zifuatazo:

1 - Edward Lowassa:
Yuko serious katika kuutaka urais na alipenda kwa udi na uvumba kuupata urais kupitia ccm ingawa ilishindikana iwe kwa fitina au kwa kukosa vigezo. Huyu yuko Ukawa kwa lengo la urais tu na anaitumia chadema kama chombo cha kuupata urais. Anaweza akawa na sababu zake lakini sitajadili kwa leo. Lakini haipendi Chadema au UKAWA.

2 - Maalim Seif na CUF:
Huyu naye ni mtaka urais tu lakini anaweza kuwa na ajenda yake ile ile iliyobebwa na CUF Zanzibar yaani kuitaka Zanzibar huru. Alitulizwa baada ya kupewa cheo lakini baada ya vuguvugu la katiba na shinikizo la kichama amejikuta akianza chokochoko upya.

Pia tusisahau CUF inaungwa mkono na makundi kama yale ya uamsho kiasi cha kumfanya mgombea urais wa UKAWA kutamka hadharani kuwa atawaachia huru watuhumiwa wa ugaidi.

3 - CHADEMA Asilia na Maslahi:
Kuna kundi la wanachadema walio serious na kutaka mabadiliko ya kweli.kundi hili limekatishwa tamaa na mambo makubwa mawili yaliyotokea yaani kumpokea lowassa bila maelezo ya kueleweka na kumpa kijiti cha kugombea urais,pili kukatwa kwa Dr Slaa na kutothaminiwa kwa mchango wake ndani ya Chadema.

Chadema maslahi ni kina Mbowe na washkaji kibao kutoka pande za Arusha na Moshi. Hawa wako kimaslahi zaidi, Issue kwao ni chama kinaingizaje fedha au mikutano inaingizaje fedha au nguo na adverts za chama zinaingizaje fedha. Hawa wanaendesha Chadema kama kamati ya harusi za kichaga.

4 - Team Lowassa, Ulipo tupo na 4UMovement:
Hili ni genge ndani ya genge! Katika kundi hili kuna watoto wa kishua wanaosubiri kupiga dili kama za watoto wa vigogo.

Katika kundi hili kuna waliokosa ajira na fursa na hivyo kujishikiza kwa lowassa ili ikitokea kapata na wao watoke(hawajui uhuni wa mwanasiasa)

Katika kundi hili kuna watoto ambao wako tu kwenye age yao ya 'fantancy' na kuburudika na maisha.

5 - WanaCCM viongozi waliomfuata Lowassa:
Hapa kuna mchanganyiko wa waliokatwa kwa kuwa ni makapi haswa. Pia wako walioshtukia dalili za kukosa wakigombea kupitia CCM(Lembeli).

Pia wapo wanaojaribu kuibuka upya kwa mgongo wa Lowassa. Humu pia kuna mashushu kutoka CCM.

6 - NCCR na Mbatia na NLD:
Hili ni kundi lisilojielewa linahitaji nini. Mbatia anaweza kuwa ni mpiga dili flani hivi na pia baada ya kuonja ubunge wa kuteuliwa anatamani angepata ubunge ili aweke mambo sawa.

7 - Wanaharakati na waandishi:
Hawa wako katika kutegemea nafasi za kuteuliwa kama ilivyozoeleka huku wakisahau kuna vijana wengi na wenye weledi. Wengi wao wameumizwa na tendo la CCM kukata na kuvunja makundi na option waliyobakiwa nayo ni kujipendekeza UKAWA.

8 - Wafanyabiashara:
Hawana uhakika kabisa wa EL kushinda nje ya CCM na wamebaki kuuma na kupuliza.
Ingawa kuna wachache bado wanagamble kuendelea kuamini katika EL kuchukua kijiti.

9 - Wachungaji/Maaskofu:
Ni wachache na wanajaribu kutumia karata ya zamu ya mlutheri lakini kimsingi wanataka kutetea matumbo yao tu.


Ukiwa na genge la namna hii na likiwa halina uongozi au miongozo inayoeleweka utakuwa unaongelea nchi iliyoanguka. Ni lazima genge hilo lipate Kiongozi na Muongozo kwanza ndio ufikirie kuwapa
1.amani haiko mikononi mwa ccm ila ni historia ya watanzania kukaa kwa amani na hatuna historia ya watanzania kupigana wenyewe kwa wenyewe kabla ya ccm,leo baba ccm mtoto ukawa kwa hiyo sioni dalili ya amani kupotea
2.El kusema anataka urais kwa udi na uvumba siyo ukweli kwa sababu kuna dhulma ya kuvunja katiba ya ccm na viongozi hawa kufuata kanuni,lakini ingekuwa ameshindwa kihalali halafu bado anataka uongozi ningekuunga mkono kwenye hiyo point.
3.El kuhusu Wafanyabiashara biashara,hakuna chama Tanzania kinaongoza kwa kuchangiwa na Wafanyabiashara kama CCM, hilo ni jambo la kawaida kwenye demokrasia aidha itaitwa fund raising au donors au lobbyists ilimradi tumefuata system za multi party na kampeni ni hela na Wafanyabiashara ni lazima watatumika na huwezi kuwaepuka.
4. mabadiliko ya kisiasa itakuja tu ni kujiukiza ni lini, kwa hizo hoja zako hazisaidii watu wa KANU walikuwa wakitoa hoja kuwa waliohama hawafai lakini wakenya waliamua,na wananchi wanataka mabadiliko naitakuja hata mkitumia mabilioni kwa propaganda.
5.mimi sisemi ccm hawajafanya kazi ntakuwa mwongo ila wamebweteka na kuchukulia kama wana hati miliki ya hii nchi.kwangu nawaona kama dume lilifanya kazi na ikazeeka hivyo lazima uichinje au uiuze.
 
meningitis

1.amani haiko mikononi mwa ccm ila ni historia ya watanzania kukaa kwa amani na hatuna historia ya watanzania kupigana wenyewe kwa wenyewe kabla ya ccm,leo baba ccm mtoto ukawa kwa hiyo sioni dalili ya amani kupotea
2.El kusema anataka urais kwa udi na uvumba siyo ukweli kwa sababu kuna dhulma ya kuvunja katiba ya ccm na viongozi hawa kufuata kanuni,lakini ingekuwa ameshindwa kihalali halafu bado anataka uongozi ningekuunga mkono kwenye hiyo point.-
3.El kuhusu Wafanyabiashara biashara,hakuna chama Tanzania kinaongoza kwa kuchangiwa na Wafanyabiashara kama CCM, hilo ni jambo la kawaida kwenye demokrasia aidha itaitwa fund raising au donors au lobbyists ilimradi tumefuata system za multi party na kampeni ni hela na Wafanyabiashara ni lazima watatumika na huwezi kuwaepuka.-
4. mabadiliko ya kisiasa itakuja tu ni kujiukiza ni lini, kwa hizo hoja zako hazisaidii watu wa KANU walikuwa wakitoa hoja kuwa waliohama hawafai lakini wakenya waliamua,na wananchi wanataka mabadiliko naitakuja hata mkitumia mabilioni kwa propaganda.-
5.mimi sisemi ccm hawajafanya kazi ntakuwa mwongo ila wamebweteka na kuchukulia kama wana hati miliki ya hii nchi.kwangu nawaona kama dume lilifanya kazi na ikazeeka hivyo lazima uichinje au uiuze.
 
Last edited by a moderator:
"CCM mkitaka #KURA yangu semeni ukweli nani anahusika na hizi tuhuma? na wahusika wamechukuliwa hatua gani?
-Katiba pendekezwa nani aliyaondoa maoni ya wananchi ambayo yalikuwepo kwenye rasimu ya Warioba?
-Mabehewa feki
-Kiwira
-Richmond
-Epa
-Escrow
-Epa
-Dowans
-IPTL
-NET GROUP SOLUTIONS
-Usafirishaji wa wanyama nje ya nchi mfano twiga alipandaje ndege?
-Biashara ya pembe za ndovu
-Biashara ya madawa ya kulevya
-Meremeta
-Mikataba ya gesi na mafuta
-Uuzwaji wa nyumba za serikali
Nahitaji majibu ya hayo maswali siyo porojo tuuuu za kipumbavu.

Kwa kuwa mnao mawaziri wakuu kama watendaji wakuu wa shughuli za serikali naamini jibu mnalo wahi kuwauliza kabla hawajasahau wanaweza kusena wao sii CCM hivyo jawajui
 
Unajua ni aibu na ajabu sana dar kuwa na kipindu pindu naona unaongelea kama jambo la kawaida na mzaha, ndo maana tunataka mabadiliko ili hii mizaha na kuchukulia mambo poa ikome..
alafu ccm mnapenda statistics sana wakati hali halisi haipo hivyo, hayo ya bima ya afya tuyaache maana ni is a whole lot of new discussion.
inakuwaje dawa zinaibiwa SANA lakini hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa na serekali ya ccm..!? Or vice versa ni kwamba hakuna dawa zinazopelekwa zaidi ya muhimbili na hospitali mbili tatu kubwa..?!
pale temeke kuna kipindi watoto wanakufa hodi ya watoto pale kwa umeme kukatika, na kukosa umeme wa kurun oxygen concetrator ambazo zilitolewa msaada na NMB, hospitali kama temeke inakosa standby generator la milioni 5 tu, kwa miaka 54, hizi discussion za mambo ya afya na kushindwa kwa ccm tuziache maana ni aibu hata mambo mengine kusema

Hayo ya Bima ya afya tuyaache...kweli?unaijua ObamaCare??

Nitafurahi sana ukiniambia hiyo generator ni ya KV ngapi?

Hapo hapo Temeke utakuta kuna bango la lowassa likilipiwa hizo milioni ulizotaja.

Kuhusu kuibiwa kwa dawa una uhakika kwamba watu hawachukuliwi hatua?au unadhani wakichukuliwa hatua ni lazima itangazwe kwenye media?
 
katiba mpya imeishia wap?tena walioba akawapa hd wanawake usawa lakn ccm mkaitupa na hawo wanawake walio pewa 50 kwa50 mkawatupa mkakurupuka na yenu iko wap sass?

Kama ulikuwa hujui ma utaki kujua mpaka sasa hata kabla ya katiba CCM inakaribia 50 kwa 50 sasa sijui mnaojiita mabadili kuna lipi jipya?
 
Kwa hiyo Magufuli siyo mtaka Urais ? Mbona anazunguka nchi kupiga kampeni? Si angekaa hapo asubiri tuamue .
 
meningitis


"CCM mkitaka #KURA yangu semeni ukweli nani anahusika na hizi tuhuma? na wahusika wamechukuliwa hatua gani?
-Katiba pendekezwa nani aliyaondoa maoni ya wananchi ambayo yalikuwepo kwenye rasimu ya Warioba?
-Mabehewa feki
-Kiwira
-Richmond
-Epa
-Escrow
-Epa
-Dowans
-IPTL
-NET GROUP SOLUTIONS
-Usafirishaji wa wanyama nje ya nchi mfano twiga alipandaje ndege?
-Biashara ya pembe za ndovu
-Biashara ya madawa ya kulevya
-Meremeta
-Mikataba ya gesi na mafuta
-Uuzwaji wa nyumba za serikali
Nahitaji majibu ya hayo maswali siyo poro
 
Last edited by a moderator:
Genge la wahuni ,majambazi na majizi ni wale wameongoza hii nchi kwa miaka 50 kuifikisha hapa ilipo sasa.
Watanzania wanasubiri kuiona tanzania chini utawala wa raisi mtarajiwa Lowasa.
 
Mengnstu nawe ni mchumia tumbo tu.Watanzania tumechoshwa na genge la watu wanaong'ng'ania kubaki madarakani huku wakijua miaka 50 ya uongozi wao imetufikisha hapa tulipo kiasi mnakuwa jasiri kutuita malofa na wapumbavu.Mtatambua upumbavu wetu 25 oct.
 
Ukawa wametupa wapi sera za kupinga ufisadi na kutetea maadili ya viongozi waliyodai imeachwa kwenye katiba pendekezwa? Sikujua kama wanapenda ufisadi kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom