Mtaji huo ccm haukubaliki tena tafuteni mtaji. Yaengine uvunjifu wa amani hukunaiba kila kitu rejeauba ya kinana jana moshi na mnukuu ccm kuna kasoro nyingi tuna mijitu ovyoo tuna wezi tuna majambazi hu sasamo na kuna watu wanafiki ndani ya ccm alisema kinana mwisho wa kunuu