Wanazibwa macho kwa "kitu kidogo" ili wasione bao kuwa ni lamkono. Kama "kitu kidogo" kinatumika ndani ya chama kama ilivyotokea kule Jimbo la Mtama, vipi kwa Wapinzani.Hivi nyie mnaowaza kuibiwa kura, mawakala wenu wanafanya kazi gan ndan ya kituo
Wanazibwa macho kwa "kitu kidogo" ili wasione bao kuwa ni lamkono. Kama "kitu kidogo" kinatumika ndani ya chama kama ilivyotokea kule Jimbo la Mtama, vipi kwa Wapinzani.Hivi nyie mnaowaza kuibiwa kura, mawakala wenu wanafanya kazi gan ndan ya kituo
Acheni uhuni wenu.kila mtu akibaki kituoni itakuwa fujo.wewe huelewi nini!
Wee Nape acha upuuzi wako hapa ...Acheni uhuni wenu.kila mtu akibaki kituoni itakuwa fujo.wewe huelewi nini!
Wanazibwa macho kwa "kitu kidogo" ili wasione bao kuwa ni lamkono. Kama "kitu kidogo" kinatumika ndani ya chama kama ilivyotokea kule Jimbo la Mtama, vipi kwa Wapinzani.
Mxuuuue eti fujo? Kwan polisi wamewekwa kwa kazi gani?
sheria unaijua vizuri au umekalia hear say?unafananisha matokeo ya uchaguzi na ya shule? zamani na sasa? pia umekariri maisha,unaonyesha ulivo pimbi zaidi(low I.Q)...tutazingatia sheria kwa umbali tajwa wa kisheria,hatutovaa nguo za chama au kufanya kampeni pia tutadumisha amani tukisubiri matokeo yatangazwe
Wanaoonekana kwenye vyama ni viongozi lakini kiukweli wenye vyama ni wanachama na wapenzi wa vyama hivyo na sio viongozi.Kura zinamaliziwa kupigwa saa 10 jioni.Halafu ndo zihesabiwe.Kukaa kituoni siku nzima ndo unazilinda vipi kama utaratibu ndio huo?Tusidanganywe na wanasiasa.
Nafahamu hofu ya upinzani ni kushindwa kuweka mawakala kwenye hivyo vituo na hata wanaowaweka hawana imani nao ya kuwa waadilifu 100% kukwepa kununuliwa.Nadhani hili walitakiwa kujipanga nalo mapema.Kuna maana gani ya kusaini makubaliano ya sheria ya uchaguzi (kuondoka kituoni na kukaa umbali wa mita 100/200 ikiwa ni mojawapo).?
You must be very Small, Young and Blind kama mabeki wa Man Utd..jokeNinyi inaonekana mna UCHUNGU sana na MBOWE NA LOWASSA Kuliko hata JOYCE MUKYA,REGINA NA FRED LOWASSA.Andamaneni MUIONE KAZI.Hivi watu wachache kama nyie mnatishia vyombo vya DOLA Kama nani??MARUFUKU KUBAKI VITUONI_AMRI
Wanaoonekana kwenye vyama ni viongozi lakini kiukweli wenye vyama ni wanachama na wapenzi wa vyama hivyo na sio viongozi.
Kuwaamini mawakala ni sawa kwa juu juu lakini fikiria juu ya suala la msingi kama mfano CDM walimwamini Dr. Slaa mpaka akawa katibu mkuu lakini leo anaongea hadharani kuwa 'tuwachague ccm'.
Na ukumbuke kichocheo cha mabadiliko safari hii sio viongozi wa vyama bali ni wananchi wenyewe ndio wanataka mabadiliko. Hivyo kuwaaminisha wamwamini wakala mmoja wakati kuna vitisho kutoka kila pembe na wengine wanasema 150 billion kwa 'shughuli' hii ni bora wakajiridhisha kwa kulinda kura zao wenyewe ilimradi hawavunji sheria.
Kikwete alishawahi kumletea nani kiroba cha sembe...labda ile sembe nyingine inayozungumzwa kuwa mwanae ni supplier, importer na exporter mkubwa wa mazao ya 'nafaka'.Watanzania wengi ni wavivu wa kufanya kazi.Komaeni kupiga kelele huko vituoni halafu Mbowe atawaletea KIROBA CHA SEMBE Nyumbani.
Wizi wa kura huwa unatokea ndani wakati wa kuhesabu kura. Hawa wanaotaka kubaki vituoni wao lengo lao sio kulinda kura ila nikugomea matokeo iwapo tume ikitoa matokeo ambayo hawayakubali. Kitu cha msingi mawakala wanaoingia ndani ndio wanatakiwa kuwa makini na wasikubali kuhongwa na kama kutakuwa na wasiwasi wasikubali kusaini kama kuna rafu inataka kuchezwa
Wanajamvi,
Pia nimemuona Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC akiiweka kama issue ya kubaki kwenye vituo haiko kisheria.
Je, kama suala la kubaki vituoni kwa umbali usiopungua mita 100 liko kisheria, ni kwa nini UKAWA wasiende mahakamani kesho kwa hati ya dharula kuweza pata ufafanuzi na order ya mahakama kwenye jambo hili?
Nia ni kuepusha damu za Watanzania kumwagika maana ninavyoona, tunakoelekea sio kuzuri ifikapo tarehe 25 Oktoba.
Nawakilisha.
You must be very Small, Young and Blind kama mabeki wa Man Utd..joke
Seriously; You must be a very small boy or girl..at least kichwani!
yaan ww n kama jibwa la kike unasema tii sheria na sheria inasema baada ya kupiga kura kaa mita mia kulinda kura hasa ww unataka tutii sheria ipi ua unataka tutii maneno ya jk na wapumbavu wenzake........mwaka huu imekula kwenu na kuna wasimamizi wengi sana wa umoja wa mataifaUmeshaambiwa piga kura sepa unalinda kura kwani wewe ni wakara sasa mjifanye wabishi upige kura ukae kituoni uone kitakacho kutokea unavunjwa miguu unasekwa ndani tii sheria bila shuruti vinginevyo utaona vyombo vyadola vinavyo fanya kazi yake
Wanajamvi,
Hili suala la kubaki vituoni baada ya kupiga kura linaanza leta ukakasi sasa, leo Mh. Raisi kaliongelea na kusisitiza watakaobaki vituoni watashughulikiwa. Nimemsikia mhe. Kinana na IGP pia wakiliongelea na mbaya zaidi kwenye magroup yote wana CCM wamefurahia sana tamko la leo la mh. Raisi ambae pia ni Amiri jeshi mkuu katika nchi ambayo Tume ya Uchaguzi haiko huru, tumeona wakurugenzi wa tume wakibadilishwa chini ya mwezi mmoja kabla ya uchaguzi kwa sababu za kikatiba/kisheria maana mhe. Raisi ana uwezo huo.
Lakini pia tuna kumbukumbu za chaguzi zilizo pita ambapo bila wananchi kuwepo eneo la tukio, sina uhakika kama mh. Wenje angepata ushindi zaidi ya mh. Masha aliye kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani.
Hii yote inaleta Sintofahamu na kuonyesha kama ule usemi wa Nape unatimizwa kwa njia hii.
Pia nimemuona Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC akiiweka kama issue ya kubaki kwenye vituo haiko kisheria.
Je, kama suala la kubaki vituoni kwa umbali usiopungua mita 100 liko kisheria, ni kwa nini UKAWA wasiende mahakamani kesho kwa hati ya dharula kuweza pata ufafanuzi na order ya mahakama kwenye jambo hili?
Nia ni kuepusha damu za Watanzania kumwagika maana ninavyoona, tunakoelekea sio kuzuri ifikapo tarehe 25 Oktoba.
Nawakilisha.
Acheni uhuni wenu.kila mtu akibaki kituoni itakuwa fujo.wewe huelewi nini!