Jamani ni mawazo yangu tu , wadau kama kuna mtu anaweza kushawishi hii move itokee
naamini kutakuwa na uwezekano mkubwa wa kukifanya chama cha mapinduzi kuwa chama pinzani 2015
Hata asipogombea warioba mwakani bado ccm kitabaki kuwa chama pinzani kwani ukawa inatishaJamani ni mawazo yangu tu , wadau kama kuna mtu anaweza kushawishi hii move itokee
naamini kutakuwa na uwezekano mkubwa wa kukifanya chama cha mapinduzi kuwa chama pinzani 2015
hakika wewe hustahili Wala haufai kuwa katika umoja WA UKAWA .
UKAWA tulishakubaliana yeyote atakaesimamishwa ni halali kwetu. usitupangie kutoka lumumba kapambaneni NA matikiti maji yenu akina WASSIRA NA wenzie
Kuna vigezo ambavyo nimeviona kuwa katika jumuiya inayounda ukawa na kugundua kuwa kuna vigezo vifuatavyo kati ya wale viongozi wanne nani anafaa kugombea urahisi:
1- Lipumba ana experience ya muda mrefu katika siasa za nchi hii kuliko wote wale
2- Anaongoza kwa shule, Lipumba ni Professor tena wa uchumi na ukizingatia tatizo tulokuwa nalo Tanzania ni uchumi
3- Akipewa Lipumba itakuwa njia nzuri ya kupata kura nyingi Zanzibar ambao kwa mtazamo wangu viongozi wengine wowote hawana ubavu wa kushindana na CCM Zanzibar
4- Lipumba ni kiongozi mzalendo ambaye hajawai kuwa na kasha yoyote ukilinganisha na viongozi wengine.