Ukawa kuanza oparesheni mkoa wa dar 6/8/2014

Ukawa kuanza oparesheni mkoa wa dar 6/8/2014

Wafanye haraka waje wazomewe ila sisi tutakuwa tunaendelea na bunge la katiba.

Dar watu wanaishi kama raia aliyevamia nchi ya watu so hata watesekeje hawawezi kuzungumza kitu watabanana hapohapo hatakkama foleni zimezidi kivipi.
 
Kweli kabisa Mkuu. Dar hawana chao UKAWA. Wataaibika bure

Dar nimesema ni sawa na watu waliovamia nchi yawatu hivyo hana la ksema hata angeteswa kiasi gani kwa sababu anaogopa kufukuzwa muda wowote na hana nauli hata ya kurudi nyumbani. Wako kama wakimbizi
 
Sasa hakuna CUF, CDM wala NCCR Mageuzi habari zote ati UKAWA hivi Hali hii ikiendelea kwa miezi Sita baadaye basi vyama hivi vitakuwa vimejizika rasmi hapa Tanzania!

Na hii hawajuwi Kama itakuwa ni fursa nzuri kwa chama tawala! Na endapo wakiungana basi CCM ikawashinda ndio mwisho wa upinzani kwani watakuwa hawana cha kusema!

UKAWA ni genge la wahuni ambao mwisho wa siku kila mmoja ana maslahi yake! Na hakika mwisho wa UKAWA haupo mbali kwani hata siku Moja wake wenza hawawezi kukaa chumba kimoja maishani! Tusubiri na tuombe uzima!
 
Dar siyo Arusha hata wakatembea uchi mwaka nzima nyumba kwa nyumba hakuna kitu wataambulia!
 
Wewe Riziki Magembe una cheo gani CDM? Are you a Public Relation Officer? Umechukua nafasi ya Tumaini? Au nafasi ya Molemo?

Naona unajikomba sana kwa CDM au we ndio Yule wa Muheza unataka kugombea Bavicha? Halafu wee ni Muislam unategemea kushinda Bavicha? Pole saana!
 
Dar hakuna ndugu zao make wachaga wako kimara tu.

Mko tanzania hii watu kama wewe kweli duh. Au baba yako mbungee nini so lazima umwunge mkono.Mbona Dar watu wanataka serikali tatu kuliko hata Arusha na Moshi watu wanavyodhani, na kama wewe unauzalendo unajua kiasi gani kimetumika na ni kodi yako na yangu kumzungusha Mzee warioba kuchukuwa maoni hayo. Na nini hasa kinawafanya wakatae serikali tatu si bado na sisi tutapiga kura kama wananchi hawaitaki si kura zitaamua. Simiyu kuwa kama mtu ulieenda shule kidogo mimi mwenywe ni CCM ila kwa upande wa katiba mjomba alikosea sana tena sana na sasa nadhani kila akikaaa anajilaumu wewe mwenyewe uipitishe ijadiliwe then wewe mwenyewe unaweka vizuizi si angaikataa toka alipopewa fununu na usalama wa taifa kuwa mambo yanaendaje
 
Wafanye haraka waje wazomewe ila sisi tutakuwa tunaendelea na bunge la katiba.
..mtaendelea na bunge la uchakachuaji huku mkiwaibia wanyonge bilioni 24, ambazo zingenunua dawa, zingejenga nyumba za walimu nk. Kinachokwenda kufanyika dodoma ni utapeli na ufisadi!
 
Wewe Riziki Magembe una cheo gani CDM? Are you a Public Relation Officer? Umechukua nafasi ya Tumaini? Au nafasi ya Molemo?

Naona unajikomba sana kwa CDM au we ndio Yule wa Muheza unataka kugombea Bavicha? Halafu wee ni Muislam unategemea kushinda Bavicha? Pole saana!

Kwa jambo la katiba hakuna cha CCM wala CDM hapo ndo watu wanapokosea coz chama chake hata kama kiko wrong mtu anakomaaa tu kisa chama hayo nimawazo mgando kaka na ndo kisa cha mvutano wa katiba mpya, walete mawazo ya wananchi sio mawazo ya chama then wananchi wataamua wenyewe simple tu. Ila watu mnakomaaa ukawa ukawa CCM CCM wakati katiba ni ya wananchi ishinde chadema ishinde CCM watatumia hiyo katiba
 
UKAWA...(Umoja wa Katiba ya Wasakatonge) nackitika sana kuona wasomi wakiunga mkono maslahi ya wa2 wachache a.k.a wasakatonge~wanaoufahamu ukweli lkn wameamua kuupotosha umma kwa faida yao wenyewe
 
Ukawa hakikisheni mnatoa elimu ya uraia kwa watanzania wote bila ubaguzi. Hasa huu ni utapeli unatarajia kuanza dodoma kuanzia tar. 5 august.
 
Back
Top Bottom