Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Wana jamvi kuna taarifa ambayo bado haijathibitishwa kuwa kuanzia tarehe tajwa hapo juu ni kwamba wana ukawa watapiga mikutano ya hadhara kata zote mkoa wa dar kuomba uungwaji mkono mpana wa wananchi dhidi ya wale ccm wanao kataa maoni ya katiba ya wananchi,timu ya wabunge,madiwani,wanaharakati na watu maarufu nchini watagawana kata za mkoa wa dar kupiga mikutano ya hadhara kwa siku 4 mfurulizo na hatimae kuhitimisha mkutano wa hadhara mkubwa jangwani ambao timu nzima ya ukawa bara na znz itakuwepo jangwani,hivyo wananchi jiandaeni na kuwapokea ukawa dar kwa fujo!ccm hawaponi kwa dhambi ya kunyonga maoni ya wananchi