kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,931
- 7,828
hua anadandia kila tukio utadhani kunguru mweusi.nasikia yule mama mwenye macho mekundu wanamwita kijo bisimba atakuwemo kuandamana.
hua anadandia kila tukio utadhani kunguru mweusi.nasikia yule mama mwenye macho mekundu wanamwita kijo bisimba atakuwemo kuandamana.
mpumbavu ww tena huna akili ku la ma ma a k o yaani ww ndio hewa yan kweli
mwana mbwa ww ulitegemea na mm ni shabikie huo usenge eti ww daa mbwa kabisa nishindwe kufanya kazi zangu nikaandamane nyoo Crashwise
''Ni vyema kukumbuka kuwa Zanzibar walijadili wenyewe mambo Yao ya Ndani na kutengeneza Katiba yao na hatuoni mantiki ya kuruhusu Wajumbe toka Zanzibar kujadili na kuamua mambo ya Tanganyika. BMK haina Sifa ya kujadili yasiyo ya Muungano''.by Prof. Lipumba
BMK wamechemka sana wanadhani Warioba na timu yake walikuwa punguani kutokuingiza mambo hayo ktk rasimu ya pili, kumbe busara iliwaongoza kuwa Zanzibar tayari ina katiba yake na nchi, leo Tanganyika tutungiwe katiba na jirani.
Kuandamana kwa ukawa ni kupinga mambo yanayochomekwa kinyume na rasimu, kama rasimu ilipokelewa kwa ajili ya kujadili leo imegeuka haramu???
Mkuu Kichondi unatokea ukanda gani? Kama hutokei Marangu sema tukupe kitengo pale CDM ili tupunguze ile dhana ya ukabila.
Yericko ametushauri tufanye hivyo.
kikubwa vyombo vya usalama viwe makini sana.kuna vichwa kama kumi hivi ndo vinataka kuyumbisha amani ya nchi hii.hawana lolote kazi kuhamisha goalpost. shida ya cdm sio katiba ila kufanya siasa waingie ikulu. ccm wanajua na wana ozoefu zaidi kufanya siasa. muhimu zaidi ccm wana ridhaa kubwa ya wananchi na hawalazimiki kua na muafaka na cdm kwa jambo la msingi katika sera yao. ukawa walijue hili na waepuke kuleta fujo bali kungojea kama watapewa ridhaa kwenye uchaguzi.
Dar es Salaam kuna msitu? au wanaenda kuanzia HAI na HIFADHI YA NGORONGORO?
Akili hauna nilikuwa nawatafuta watu kama wewe, mbona hakuna makatibu wakuu wa CUF na NCCR? SLAA amefuata nini kwenye hilo tamko? ndiyo ilikuwa maana yangu
natokea tanganyika and we need tanganyika back
Kama ni ujinga mbona,ma
CCM mmehamaki hivi .....katiba sio mali ya ccm ndugu zangu...mnakosea
sana ..tulitakiwa kuwa on the same page kama taifa,kuwa na win-win
situation
nyie hamna akili? hata warioba mwenyewe ameshindwa kutetea takwimu zake nyie mmeng'ang'ana wananchi wananchi. kwani mnafikiri wananchi ni mjimi moshi na arusha tu.Hapa hakuna cha UKAWA wala CCM ni jambo jema kukubaliana kwa ajiri ya ustawi wa Taifa letu na kuacha kuwalazimisha Raia matakwa yetu na maslahi yetu Taifa letu sote tukilichafua damu na vilio ni laana kwa kizazi chetu. CCM inatumia mkono wa chuma kulinda matakwa yake UKAWA tunasema maoni ya wananchi yaeshimiwe huu siyo wakati wake kama tumeshindwa tutafute msaada wa kisheria nini kinaitajika kujadiliwa na siyo kuwabebesha Raia mizigo ya vifo na ulemavu wa kudumu. Mungu twakuomba lilinde Taifa letu na wanasiasa walevi.
mkuu na mama yako umeshamshawishi kuandamana?Natokea Tanganyika and we need Tanganyika Back
kundi la watanzania wengi liko bungeni kwa mujibu ya sheria, UKAWA ni wanaharakati kama walivyo akina ULIMWENGU, KABUDI, ANANILEYA NKYA n.k
Niwaombe UKAWA, mahakama zipo wazi kwa kila mtu na kila kikundi, kama Bunge la katiba linakwenda kinyume na sheria inayoongoza uwepo wake kwa nini basi msiende mahakamani kuusimamisha huu mchakato? Mna wanasheria wengi kama kina Tundu Lissu, kwa nini basi wasitumie taaluma yao kuweka pingamizi la mahakama? Hizi porojo za matamko kila siku hazisaidii kitu. Kama kuna jambo la msingi mnaloona limevunjwa kisheria, wekeni pingamizi la kimahakama na siyo kubwabwaja tu.
mkuu katika michakato ya demokrasia hamuwezi always kuwa on the same page.Kama ni ujinga mbona,ma CCM mmehamaki hivi .....katiba sio mali ya ccm ndugu zangu...mnakosea sana ..tulitakiwa kuwa on the same page kama taifa,kuwa na win-win situation
We ndo mzushi.Niulize tu, kwenye huo uzushi, SLAA ameingia kama nani?
kikubwa vyombo vya usalama viwe makini sana.kuna vichwa kama kumi hivi ndo vinataka kuyumbisha amani ya nchi hii.
Watu hawa wanatakiwa kuwa monitored 24/7 ,kila wanachofanya,kila wanachoongea,kila wanaekutana ,wanaewasiliana,financial transaction etc vyote viwe monitored and analyised.
Yaani hata wakitoa ushuzi taarifa zifike vyombo vya usalama.
Hivi vichwa ndo vinaweza kupeleka nchi matatizoni iwapo wanaachwa loose.