kwa haraka haraka huu ni upuuzi wa CHADEMA na siyo ukawa kawa sababu:
1. KUNA CHADEMA wawili(SLAA na MBOWE) vyama vingine mmoja mmoja
2. kwa nini iwekwe afisa habari wa CHADEMA?
Ni mwendelezo wa ujinga tu unaofanywa na CHADEMA kwa kivuli cha UKAWA.
1. KUNA CHADEMA wawili(SLAA na MBOWE) vyama vingine mmoja mmoja
2. kwa nini iwekwe afisa habari wa CHADEMA?
Ni mwendelezo wa ujinga tu unaofanywa na CHADEMA kwa kivuli cha UKAWA.