Ukawa kuandamana nchi nzima

Ukawa kuandamana nchi nzima

Hawa jamaa kwa mujibu wa kanuni zao, maridhiano ni bungeni na si nje ya hapo. Muundo upi utatumika, wananchi wataamua kwa kura ya maoni.

Sasa kama wanadhani kuandamana ndio suluhu; nalishauri jeshi la polisi kushirikiana na jeshi la wananchi kuwashughulikia vilivyo viongozi wenye uchu na madaraka kwa njia yoyote. Kama vipi, tubaki na katiba yetu ya sasa. Mnataka mateja waingie barabarani kutuibia kwa nguvu. BWANA wa majeshi azime hila yenu. Natamani kuwatkna lakini imani yangu hainiruhusu.

Mkuu wangewezaje kuridhiana katika mazingira ya kubezwa na kutukanwa kiasi kile? Au ulikuwa unahadithiwa mchakato wa BMK season one?
 
"Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity."

-Martin Luther King
 
Niulize tu, kwenye huo uzushi, SLAA ameingia kama nani?
 
mhuuu da jamaa naona wana tapatapa wanatafuta kwa kufiaaa haya kwahelini ukawa

umesoma angalau mistari miwili au umekurupuka hata nguo za ndani hujavaa unakimbilia kuja kujakupost, dada tumia akili yako vyema...
 
bunge litaendelea kama kawa.
Siku zinachanja mbuga hazigandi.
 
watanzania hawajawahi kutupuuza...

fuatilia mkuu, matukio yenu mlisema mnatoka bungeni mnakwenda kwa wananchi, mkaenda wakawapuuza, mkaenda kwa viongozi wa DINI wakawapuuza, mkatumia wanaharakati njaa kama akina ANANILEYA NKYA, ULIMWENGU, KABUDI na wengine wengi mkaapuuzwa. hili nalo mtapuuzwa.
 
Tamko lote hili sijaona hata mantiki moja ya kunifanya nione uharamia unaofanywa na bunge la katika. Kila aya yanajirudi maneno yaleyale bila kuwa na point ya msingi. Niwaombe UKAWA, mahakama zipo wazi kwa kila mtu na kila kikundi, kama Bunge la katiba linakwenda kinyume na sheria inayoongoza uwepo wake kwa nini basi msiende mahakamani kuusimamisha huu mchakato? Mna wanasheria wengi kama kina Tundu Lissu, kwa nini basi wasitumie taaluma yao kuweka pingamizi la mahakama? Hizi porojo za matamko kila siku hazisaidii kitu. Kama kuna jambo la msingi mnaloona limevunjwa kisheria, wekeni pingamizi la kimahakama na siyo kubwabwaja tu.
 
mhuuu da jamaa naona wana tapatapa wanatafuta kwa kufiaaa haya kwahelini ukawa
kesho wanakongamano tena Itv,kisha keshokutwa wataandika strong worded letter kwa Rais wakimwambia asitishe bunge haraka ama sivyo wanaingia msituni.
 
na mama yako ataandamana?

mkuu pamoja na kwamba UKAWA wanaudhi na hawajui walifanyalo, wapuuze tu wala usiwape credit kwa matusi, dawa ya watu kama UKAWA ni JK, wanapandisha mori, mzee yeye kimya anawaangalia tu wakichoka utasikia mkuu tunaomba kuja kunywa juice, naye anawaambia njoooni, wakitoka wameinamisha vichwa kama mabundi
 
Wasio na kazi wataandamana.
Wavuta bangi wasio na kazi wataandamana.
Wajinga na wasiojielewa wataandamana.
 
Back
Top Bottom