Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,650
Mumewaokota kwa fedha na malori harafu mwajigamba, dah! Poleni sana. Wote hao ni UKAWA kwa taarifa yako. Waji danganya sasa ndugu
Nyie ccm ndio mmepanic mnahaha huku na kule kununua watu mara wasanii hamjielewi.
fiesta fiesta....
Mwanzilishi wa alinselema ni lowassa kwenye kura za maoni
Hatuogopi chochote tukutane 25/10/2015
Tangu lini nyumbu akawa na uwezo wa kufikiri?