MZALENDO NO.1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 302
- 134
ushindi mapema
kweli kabisa ushindi kwa lowassa asubuhi sana na mapema
ushindi mapema
Lowasa mwenyewe pale Kawe amekiri na akaimba "Alinselemaaaa"
Wa kwanza kuimba mchakamchaka nani??????!!
Ni Lowassa kule Arusha kwenye kutangaza nia!!! Sasa usimshangae kuimba Alinselemaaaa
we Mr. Chin ni Nape nini.
Hata hivyo maudhurio ya watu si issue...na uelewe 65% ya watu hao wanamsikiliza Diamond Platinums na wanawapigia UKAWA. Shauri yako[/QUOTEj
Jipe moyo