mwamgongo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 483
- 408
omba tu radhi, kwani nafsi yako inasadiki.Kuna yeyote nimemvunjia heshima hapa? Ikithibitika nitaomba radhi
omba tu radhi, kwani nafsi yako inasadiki.Kuna yeyote nimemvunjia heshima hapa? Ikithibitika nitaomba radhi
Kwani kuna mtu kaomba posho hapa?Fanyeni kazi jamani mbona hivyo lakini?
Huyo huyo.Mnamuongelea yule mvulana mwenye mijitako mikubwaaaaaaaa????
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji144] [emoji144] [emoji85] [emoji15]
Aaaamen Tabby thanks sana[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779]Mkuu tulia kwanza. Maliza hayo masuala mazito yanayokukabili kwanza. Haya masuala ya uhusiano wa karibu utayakuta. Pole sana ndugu yetu. Mungu awape faraja katika wakati huu mgumu.
polee[emoji23] [emoji23] [emoji23] tunamalizia msiba dada
Mnamuongelea yule mvulana mwenye mijitako mikubwaaaaaaaa????
heshima ni jambo muhimu katika maisha, sidhani kama umetumia heshima maana hizi taratibu za kimagharibi kama zinatumika na kila mtu. je wewe watembea kushotoni na mkewe tu. Ifike mahala tupunguze chuki kwani chuki zitatumaliza bure huenda yule unayemchukia hajui hata kama unamchukia. Heshima!