Ukaribu wenye kutia shaka sana

Ukaribu wenye kutia shaka sana

Pole sana kwa kuondokewa mkuu, nadhani lengo kuu la hiyo arrangement hapo ilikuwa ni kuhakikisha mkuu wa mkoa hakatwi katika hiyo picha na arudi katika kurasa za mbele za magazeti.
Asante sana but tunahitaji kitengo ambacho kitaweka wajibu na taaluma mbele kuliko mahaba binafsi.. Haya mambo yana athari zake
 
Vizuri maisha yaendelee ingawa maombi hayakomi. Wape pole wote hapo nyumbani wambie tupo pamoja.
Aaamen dada tunawasiliana kule kwa mawili matatu
 
Mkuu kwanza pole kwa kuondokewa na mojawapo ya nguzo muhimu katika maisha yako, Mungu unaemwabudu aendelee kukupa nguvu.
Pili kungekua na hako kapicha ingenoga zaidi.
 
yule mama masikini anavumilia mengi sana
2e094adfef5b1279837d11654a62d037.jpg
 
heshima ni jambo muhimu katika maisha, sidhani kama umetumia heshima maana hizi taratibu za kimagharibi kama zinatumika na kila mtu. je wewe watembea kushotoni na mkewe tu. Ifike mahala tupunguze chuki kwani chuki zitatumaliza bure huenda yule unayemchukia hajui hata kama unamchukia. Heshima!
 
heshima ni jambo muhimu katika maisha, sidhani kama umetumia heshima maana hizi taratibu za kimagharibi kama zinatumika na kila mtu. je wewe watembea kushotoni na mkewe tu. Ifike mahala tupunguze chuki kwani chuki zitatumaliza bure huenda yule unayemchukia hajui hata kama unamchukia. Heshima!
Kuna yeyote nimemvunjia heshima hapa? Ikithibitika nitaomba radhi
 
Back
Top Bottom