Ukaribu wenye kutia shaka sana

Ukaribu wenye kutia shaka sana

Kuna yeyote nimemvunjia heshima hapa? Ikithibitika nitaomba radhi

Nini mantiki ya hii post yako Mshana?
Hivi hata marais wa nchi nyingine wakati wote huwa wanapiga picha wake zao wakiwa sided nao? Hakuna matukio ambayo wake zao huwa angalau mbali kidogo nao?
Unaweza kuwa na wazo zuri lakini uwasilishaji wake ukaonekana mbaya.
 
Nini mantiki ya hii post yako Mshana?
Hivi hata marais wa nchi nyingine wakati wote huwa wanapiga picha wake zao wakiwa sided nao? Hakuna matukio ambayo wake zao huwa angalau mbali kidogo nao?
Unaweza kuwa na wazo zuri lakini uwasilishaji wake ukaonekana mbaya.
Ukiangalia mwanzo wa mada nilisema wazi Kuwa hili nalileta huku badala ya kule siasani
Nilichojaribu ni kuamsha mjadala hojaji, ili tuweze kulichambua hili vizuri ..nimezungumzia dhana nzima ya mahusiano kwahiyo hata Kama kuna wengine duniani wanafanya makosa hiyo haiondoi uhalali wa makosa yanayofanywa huku kwetu
Kuna sehemu kubwa sana ya makala imeachwa ikining'inia na umeangukia kwenye kipengele cha picha ambayo hata hivyo imetumika Kama mfano tu
 
Ukiangalia mwanzo wa mada nilisema wazi Kuwa hili nalileta huku badala ya kule siasani
Nilichojaribu ni kuamsha mjadala hojaji, ili tuweze kulichambua hili vizuri ..nimezungumzia dhana nzima ya mahusiano kwahiyo hata Kama kuna wengine duniani wanafanya makosa hiyo haiondoi uhalali wa makosa yanayofanywa huku kwetu
Kuna sehemu kubwa sana ya makala imeachwa ikining'inia na umeangukia kwenye kipengele cha picha ambayo hata hivyo imetumika Kama mfano tu

Sawa, kila mtu anapanga cha kufikiri na picha huzungumza maneno 1000.
Kila la kheri
 
Wana MMU na JF kwa ujumla pamoja na kwamba niko kwenye kipindi cha majonzi lakini nimewiwa kuandika hili... Hili la mahusiano yenye kutia shaka sana... Nimeamua kuileta huku kutokana na muktadha wake...
Labda kwa kukuongezea tu..
Hiyo niliyo quote ndio ilikuwa utangulizi wa uzi wako na hata kichwa cha habari pia umeongelea mahusiano yenye kutia shaka..
Labda mimi sijaelewa but jipime mwenyewe uone kama kweli ulitaka kuonyesha makosa ya ki-protokali au zaidi ya hapo...
 
heshima ni jambo muhimu katika maisha, sidhani kama umetumia heshima maana hizi taratibu za kimagharibi kama zinatumika na kila mtu. je wewe watembea kushotoni na mkewe tu. Ifike mahala tupunguze chuki kwani chuki zitatumaliza bure huenda yule unayemchukia hajui hata kama unamchukia. Heshima!
Kama hutaki mchumba wenu asemwe msije kwenye thread. Aliyesema wanatembea nani? Shughuli za kitaifa zinafuata itifaki siku zote acha uzwazwa. Unadhani kwa nini Rais hakuwekewa kiti sawa na wengine? Kwa nini Rais anawekewa zulia jekundu? Siku hizi hata mke wa Rais ana msafara, watu walupohoji hili mkaleta utetezi mrefu, wakaridhika wakanyamaza. Sasa Leo jambo linalohtaji kufuata itifaki linavurugwa, unaleta utetezi maandazi. Yaani kwako hata Mh. Mbalawa angekaa alipo Magufuli ingekuwa sawa tu. Watu wengine mnalipwa bila Kazi ya maana.
 
Kupambana na madawa ya kulevya si kazi ya kawaida. Ni kufa au kupona! Lawama apewe JPM kumtoa kafara kijana badala ya kutanguliza waliobakiza siku chache, labda angejua hali ya vita iko vipi!!?? Hata Trump sidhani kama anaweza mziki huu. Nawaza tu kwa sauti!
 
Kama hutaki mchumba wenu asemwe msije kwenye thread. Aliyesema wanatembea nani? Shughuli za kitaifa zinafuata itifaki siku zote acha uzwazwa. Unadhani kwa nini Rais hakuwekewa kiti sawa na wengine? Kwa nini Rais anawekewa zulia jekundu? Siku hizi hata mke wa Rais ana msafara, watu walupohoji hili mkaleta utetezi mrefu, wakaridhika wakanyamaza. Sasa Leo jambo linalohtaji kufuata itifaki linavurugwa, unaleta utetezi maandazi. Yaani kwako hata Mh. Mbalawa angekaa alipo Magufuli ingekuwa sawa tu. Watu wengine mnalipwa bila Kazi ya maana.
unapasa uwe na heshima hata kidogo ndugu, jaribu tu kujifunza heshima.
 
Sawa, kila mtu anapanga cha kufikiri na picha huzungumza maneno 1000.
Kila la kheri

Labda kwa kukuongezea tu..
Hiyo niliyo quote ndio ilikuwa utangulizi wa uzi wako na hata kichwa cha habari pia umeongelea mahusiano yenye kutia shaka..
Labda mimi sijaelewa but jipime mwenyewe uone kama kweli ulitaka kuonyesha makosa ya ki-protokali au zaidi ya hapo...
Kila jambo lina asili yake... Kosa likirudiwa mara nyingi linakuwa si kosa tena bali tabia
 
Nadhani hoja za watu ni kuhusu kiti na sio wapi first lady au rc walipotakiwa kuketi.
 
Ningecomment ila naogopa kufwata na noah na milioni 7 sina..Nafwaaaaa

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
aiseeee.... acha nichek picha kwa mara nyingine..!!!!
 
Mku pole sana. Naomba kujua huyo mama aliyekaa pembeni Mkuu wa dar ni nani wakuu
 
Halafu Mimi ni nlitazama live lile tukio pale Udsm na Magomeni kupitia TV ilikuwa inaonekana Bashite kamzoea Faza hausi kuliko Mtu yeyote hata Mkewe, wakat wa Kukaa Bashite ndio alimpanga mpaka pa kukaa Yule Mama kwa kuwa hapakuwa na Mtu wa Protocal wa kuwapanga akajikuta anaelea tu hajui afanye nini!

Wale ma Chief of Protocal Akina Cisco Mtiro wakat wa Mkapa na Balozi Maharage wakat wa jk walikuwa Watu wa Protocal kweli kweli sijui na hivyo vitengo navyo siku hizi wamepewa Ma Engineer wa Tanroad na Wasukuma? [emoji12]
 
Back
Top Bottom