"Ukaguzi kwa memba wageni hapa mjengoni"

"Ukaguzi kwa memba wageni hapa mjengoni"

Mwanyasi

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2010
Posts
7,955
Reaction score
7,111
Last edited by a moderator:
Yani umefanya jambo la maana sana Mwanyasi kutaka wanaume nao wakaguliwe, mana walikuwa wanaingia ingia tu humu.
 
Last edited by a moderator:
manyasi ukaguzi kwa wanaume unahusu kipengele kipi haswa...Lol!
 
Last edited by a moderator:
Naomba kuuliza huku kukaguliwa ni kwa namna gani? Sehemu zipi zinakaguliwa? Ni kama airport or?

Na kwanini wa kike akaguliwe na wa kiume na kiume kukaguliwa na wa kike?
Mwongozo tafadhali

cc Filipo Mwanyasi Madame B Baba V Asprin
 
Last edited by a moderator:
Kuna ma bi dada watatu walikuwa wanafanya hiyo ya kukagua me. Ni kama walianza kuzidiana kete. Pengine wakipita hapa watajitambulisha. Mi nina bifu nao as walianza kukagua hata baba zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom