Ukabila bado ni tatizo Tanzania.

Ukabila bado ni tatizo Tanzania.

Sasa unataka wazazi wakuachie tu kirahisi uoe mzaramo huko wanakuona!?
Ukitaka kuona Ukabila upo Tanzania, tafuta mchumba wa kuoa au kuolewa naye, usikie vile wazazi wana comment.

Sent using Jamii Forums mobile app
FB_IMG_1549826856544.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukabila haujawa tatizo, upo lakini kwa kiasi kidogo, bado wa-Tanzania wanapendana bila kujali makabila yao. Angali kwenye mambo ya kijamii kama vile misiba, harusi na mikusanyiko kama vile magroup ya WhatsApp, kwenye ma-bar watu wanashikiriana tu bila ya kujali hayo mambo ya makabila
Kweli mkuu,hii nchi ndio maana kila nikitaka kuiacha najikuta nimerudi,iko poa sana,yaani kila mkoa karibu niliowahi kutembelea hata ile yenye ukabila kidogo kuna Amani ya ajabu,watu tunajichanganya sana hadi raha..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna makabila inabidi waoane wao kwa wao[emoji23][emoji23][emoji23].


The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Upo sana ukabila TZ na sehemu nyingine unapojionyesha ni makazini huko.
 
Back
Top Bottom