Cowman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 1,719
- 3,187
Ukitaka kuona Ukabila upo Tanzania, tafuta mchumba wa kuoa au kuolewa naye, usikie vile wazazi wana comment.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Naishi Tanzania, nyumbani kwetu ni Tanzania.sema ukabila upo nyumbani kwenu sio tanzania.
Ivi nikileta posa kwenu wazee watakuwa na pingamizi?
mtu mwenye papuchi tatu mkuu.moshi ni mtu wa aina gani?
wee ndo umemaliza, uzi ungeishia hapa hapasema ukabila upo nyumbani kwenu sio tanzania.
Zipo sana mkuu,wazazi wetu bado wana mentality ya Ujamaa wa kabila moja.[emoji848][emoji848][emoji848]hivi hizi tabia kweli bado zipo eeeh!!
Sent using Jamii Forums mobile app