Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 6,116
- 6,874
sisi huku kwetu hazipo, zitakuwA huko kwenu tuZipo sana mkuu,wazazi wetu bado wana mentality ya Ujamaa wa kabila moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
sisi huku kwetu hazipo, zitakuwA huko kwenu tuZipo sana mkuu,wazazi wetu bado wana mentality ya Ujamaa wa kabila moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Dharra Wapemba hawataki nilete chombo bara.Mkuu Baba Cowman unataka kuvuta jiko kwa Wapemba? acha woga jilipue tu.
mtu mwenye papuchi tatu mkuu.
Fukuza mkuuNimeoa kaskazini kwa wamaasai, ukabila upo ndoa yangu ina mgogoro ukichunguza chanzo ni ukabila, soon nafanya maamzi magumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nidokeze kidogo:alienda kwao kujifungua mwezi December 2018, mwezi January akajifungua kwa bahati mbaya mtoto akafariki baada ya muda mfupi tu, familia yake wadai mtoto wao analogwa na watu wa kanda ya ziwa,watu wa kanda ya ziwa ni wachawi sana, wanatafuta sababu za kuivunja hiyo ndoa.Fukuza mkuu
Tumia hekima mkuuNidokeze kidogo:alienda kwao kujifungua mwezi December 2018, mwezi January akajifungua kwa bahati mbaya mtoto akafariki baada ya muda mfupi tu, familia yake wadai mtoto wao analogwa na watu wa kanda ya ziwa,watu wa kanda ya ziwa ni wachawi sana, wanatafuta sababu za kuivunja hiyo ndoa.
Kuna mengi tu ila dokezo ni hilo,
Soon nachukua maamzi magumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tribalism
never end..
"Mwanangu
usioe mmachame
aisee!!ni bora
uoe Jirani zetu
wachagga
au Wamasai na wameru"
mtoa mada tatizo sio kabila lako tatizo ni umasikini tu
Nidokeze kidogo:alienda kwao kujifungua mwezi December 2018, mwezi January akajifungua kwa bahati mbaya mtoto akafariki baada ya muda mfupi tu, familia yake wadai mtoto wao analogwa na watu wa kanda ya ziwa,watu wa kanda ya ziwa ni wachawi sana, wanatafuta sababu za kuivunja hiyo ndoa.
Kuna mengi tu ila dokezo ni hilo,
Soon nachukua maamzi magumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kuona Ukabila upo Tanzania, tafuta mchumba wa kuoa au kuolewa naye, usikie vile wazazi wana comment.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu. Nimegundua wazazi wetu hata kama wana elimu bado wanaamini sana kwenye mambo ya uchawi na ukabila.Nidokeze kidogo:alienda kwao kujifungua mwezi December 2018, mwezi January akajifungua kwa bahati mbaya mtoto akafariki baada ya muda mfupi tu, familia yake wadai mtoto wao analogwa na watu wa kanda ya ziwa,watu wa kanda ya ziwa ni wachawi sana, wanatafuta sababu za kuivunja hiyo ndoa.
Kuna mengi tu ila dokezo ni hilo,
Soon nachukua maamzi magumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mpalestina?Upo sana aisee ukisema tu kabila lako watu wengine huanza kukunanga ila wanaojielewa hawauweki maanani kabisa. Mimi nikikutana na mwanaume anaponda kabila langu basi hunitoka moyoni namuona ni mshamba flani coz no one is perfect regardless of kabila
Sent using Jamii Forums mobile app