Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Muuulize mkereketwa mwenzako tayari anamimba ni kichefuchefu kwa kwenda mbele...Mie niliisha waambia lema ni Kama kuku wakuchora hadonoi, hawiki, hatembei, hafai kwa nyama wala kwa mayai
Muuulize mkereketwa mwenzako tayari anamimba ni kichefuchefu kwa kwenda mbele...Mie niliisha waambia lema ni Kama kuku wakuchora hadonoi, hawiki, hatembei, hafai kwa nyama wala kwa mayai
mbona sisi hatusemi wewe kuwa degree yako ni ya kushusha kaptura!!!!!!
Acha ujinga jukwaani.
Sina mama mjinga kama wewe, wewe lazima utakuwa mama yeke MulogoChali angu MAHABA yamekuzidi eeee hahahaha kausha Mjusi akusikie hahahaha lazma kula udongo ikuhusu
Muuulize mkereketwa mwenzako tayari anamimba ni kichefuchefu kwa kwenda mbele...
chadema hawasubiri kupewa nchi,wanachukua!chadema ni umma na umma ndio wenye nchi hii sio ccm wala kikaragosi kama wewe.
Hivi ww na akili yako timama (sio timamu) wafikiria cdm watapewa nchi ? Endelea kujidanganya
Sina mama mjinga kama wewe, wewe lazima utakuwa mama yeke Mulogo
Chadema kuna vidume hatujaoa apeleke maombi yake atapata bwana wa kumliwasa...amekalia kutung'ang'ania sisi tulioa....
Kama mnakumbuka huyu mkuu wa mkoa aliwahi kusema wakati mahakama ilimvua aliekuwa mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema kuwa "amani sasa itapatikana".sijui kama huyu mkuu wa mkoa bwana Magessa atayasikia maneno ya Lema sana huyu mkuu wa mkoa atahakikisha ccm inashinda kama ilivyo kawaida ya wakuu wa mikoa(wateule wa raisi/wawakilishi wa chama cha mapinduzi).
tunajua mkuu huyu wa mkoa kapewa zawadi ya viwanja huko arusha.hii sms ni warning kwamba awe tayari kwa matukio ya ulipizaji kisasi.Kama mnakumbuka huyu mkuu wa mkoa aliwahi kusema wakati mahakama ilimvua aliekuwa mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema kuwa "amani sasa itapatikana".sijui kama huyu mkuu wa mkoa bwana Magessa atayasikia maneno ya Lema sana huyu mkuu wa mkoa atahakikisha ccm inashinda kama ilivyo kawaida ya wakuu wa mikoa(wateule wa raisi/wawakilishi wa chama cha mapinduzi).
Muulize kada mwenzako alichofanywa na lema mpaka anasikia kichefuchefu...Labda tumuulize LEMA kichefuchefu cha nn? Au alipokuwa KISONGO MJUSI alishamaliza kazi...
Huyu Lema...ananipa kichefuchefu kinoma yaani huyu.
hivi wewe hujapewa suti na waarabu kweli?Hakuna mpambanaji anayelia lia hahaha ukimuona analilia jua ni dizain ya LEMAKAMERUN ngastuka mnama
Kama ikulu is the part of the subsidiary group ya sheikh ponda lazima na wao ni hivyo hivyo
Analiialia kamuuliza baba mwanaasha ana muanya kama ukoma alikuwa hakanyagi arusha mpaka alipo fanya mipango ya kuondolewa ubunge, ukiona shida kuumuuliza vasco dagama muulize Pinda mpaka lleo anamaswali ya lema ameshindwa kuyajibu akaokolea na bi kiroboto...Hakuna mpambanaji anayelia lia hahaha ukimuona analilia jua ni dizain ya LEMAKAMERUN ngastuka mnama
kama mwenyekiti wake anapewa na kulipiwa gest(chumba cha kulala) atakuwa yeye....hivi wewe hujapewa suti na waarabu kweli?
Unajua hawa ni dada zetu kama yukotayari kuacha uchangudoa nikashauli kuna vijana hawajaoa apeleke maombi ila mimi nilishaoa asijisumbue....labda anipe tigo ni weke angalau gunzi...Sasa na we mkuu unataka kumwoa Desi Mangola?
Nakuambia ukimweka ndani machangudoa wote wanaacha kwenda shiverz wanakuja kwako. halafu wateja wao wanajazana nyumbani.
Muuulize mkereketwa mwenzako tayari anamimba ni kichefuchefu kwa kwenda mbele...