PostGE2025 Ujumbe wa Rais Samia kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru Desemba 9, 2025

PostGE2025 Ujumbe wa Rais Samia kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru Desemba 9, 2025

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
"Ndugu wananchi Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anapenda kuwatakia wananchi wote heri ya Sikukuu ya Uhuru wa Tanzania Bara inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 9 Desemba, aidha serikali inawashauri wananchi wote ambao tarehe 9 desemba 2025 hawatakuwa na dharura kuitumia siku hiyo kwa mapumziko hivyo kushereheka siku hiyo wakiwa nyumbani isipokuwa kwa wale ambao majukumu yao ya kazi yanawataka kuwepo katika vituo vya kazi kama ambavyo wataelekezwa na viongozi wao"

Ujumbe wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru Desemba 9, 2025, na kuwasilishwa na Waziri mkuu wa Mwigulu Lameck Nchemba.
 
"Ndugu wananchi Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anapenda kuwatakia wananchi wote heri ya Sikukuu ya Uhuru wa Tanzania Bara inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 9 Desemba, aidha serikali inawashauri wananchi wote ambao tarehe 9 desemba 2025 hawatakuwa na dharura kuitumia siku hiyo kwa mapumziko hivyo kushereheka siku hiyo wakiwa nyumbani isipokuwa kwa wale ambao majukumu yao ya kazi yanawataka kuwepo katika vituo vya kazi kama ambavyo wataelekezwa na viongozi wao"

Ujumbe wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru Desemba 9, 2025, na kuwasilishwa na Waziri mkuu wa Mwigulu Lameck Nchemba.
Kwanininviongozi wananyima uhuru wananchi sasa unaambiwa ukae ndani hii sio nzuri kabisa.
 
"Ndugu wananchi Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anapenda kuwatakia wananchi wote heri ya Sikukuu ya Uhuru wa Tanzania Bara inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 9 Desemba, aidha serikali inawashauri wananchi wote ambao tarehe 9 desemba 2025 hawatakuwa na dharura kuitumia siku hiyo kwa mapumziko hivyo kushereheka siku hiyo wakiwa nyumbani isipokuwa kwa wale ambao majukumu yao ya kazi yanawataka kuwepo katika vituo vya kazi kama ambavyo wataelekezwa na viongozi wao"

Ujumbe wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru Desemba 9, 2025, na kuwasilishwa na Waziri mkuu wa Mwigulu Lameck Nchemba.
Kwani mwenyewe yuko wapi
 
Back
Top Bottom