Ujumbe wa Oktoba Mosi

Ujumbe wa Oktoba Mosi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,623
Reaction score
830,358
Maji yakapunguka-punguka hata mwezi wa kumi; mwezi huo wa kumi, siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.

Neema ya Mungu ikufunike mwezi huu. Kila penye changamoto ukaone vilele vya vilima. Ukapokee nguvu mpya, ukapokee tumaini jipya, ukapate kibali mbele za Mungu na wanadamu.

Happy New month.
 
"Amina"
Mungu ailinde nchi yetu na awaumbue vibaraka wa mabeberu wenye kutamani kuvuruga nchi yetu.
 
Wandugu si kila kitu ni siasa ..hebu tujaribu kutofautisha majukwaa tafadhali
Kwenye hizo quote ulizoweka kuna Comment ya siasa hapo!?
Comment zote ni za kusaport maombi na dua zako mtumishi.
 
1601535772419.png
 
Maji yakapunguka-punguka hata mwezi wa kumi; mwezi huo wa kumi, siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.

Neema ya Mungu ikufunike mwezi huu. Kila penye changamoto ukaone vilele vya vilima. Ukapokee nguvu mpya, ukapokee tumaini jipya, ukapate kibali mbele za Mungu na wanadamu.

Happy New month.
Amen to that.... Happy new month to you too Mshana Jr and be blessed!
 
Maji yakapunguka-punguka hata mwezi wa kumi; mwezi huo wa kumi, siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.

Neema ya Mungu ikufunike mwezi huu. Kila penye changamoto ukaone vilele vya vilima. Ukapokee nguvu mpya, ukapokee tumaini jipya, ukapate kibali mbele za Mungu na wanadamu.

Happy New month.
Amina
 
Back
Top Bottom