Ujumbe wa Oktoba Mosi

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,606
696,727
Maji yakapunguka-punguka hata mwezi wa kumi; mwezi huo wa kumi, siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.

Neema ya Mungu ikufunike mwezi huu. Kila penye changamoto ukaone vilele vya vilima. Ukapokee nguvu mpya, ukapokee tumaini jipya, ukapate kibali mbele za Mungu na wanadamu.

Happy New month.
 
"Amina"
Mungu ailinde nchi yetu na awaumbue vibaraka wa mabeberu wenye kutamani kuvuruga nchi yetu.
 
1601535772419.png
 
Maji yakapunguka-punguka hata mwezi wa kumi; mwezi huo wa kumi, siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.

Neema ya Mungu ikufunike mwezi huu. Kila penye changamoto ukaone vilele vya vilima. Ukapokee nguvu mpya, ukapokee tumaini jipya, ukapate kibali mbele za Mungu na wanadamu.

Happy New month.
Amen to that.... Happy new month to you too Mshana Jr and be blessed!
 
Maji yakapunguka-punguka hata mwezi wa kumi; mwezi huo wa kumi, siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.

Neema ya Mungu ikufunike mwezi huu. Kila penye changamoto ukaone vilele vya vilima. Ukapokee nguvu mpya, ukapokee tumaini jipya, ukapate kibali mbele za Mungu na wanadamu.

Happy New month.
Amina
 
33 Reactions
Reply
Back
Top Bottom