Ujumbe wa Dr. Chris Mauki

Dr. Mauki unajidhalilisha mno kwa namna unavyojipamnbanua kwenye ulimwengu wa wasomi. Yaani tunakutofautishaje na kina MC Pilipili, Gea n.k (too low). Hebu jitafakari upya tulitegemea tuki-google jina lako tuone Papers ulizopubl;ish kwenye International Journal sio hizi tambo za kinamama hapa nchini na kuitwa kwenye vipindi vya KITCHEN PARTY. Dr. Mauki aibu aibu aibu
 
Nahisi mke wa Mauki ana raha sana, mume hana michepuko, anamjali mkewe nk, natumai haya anayoandika ndo anayomtendea mkewe, hahahaha!
 
Mauki kuwa MC wa Kitchen Party ni chini sana kwa msomi wa Hadhi yako. Kwa nini usijikite kwenye kazi za kutumia akili zaidi?
 
Nahisi mke wa Mauki ana raha sana, mume hana michepuko, anamjali mkewe nk, natumai haya anayoandika ndo anayomtendea mkewe, hahahaha!
Mimi nimetoka kuiangalia hio couple Jana,she seems happy ila hapo kwa Chris kutokucheat mmh,bottom line she is happy,raha sana...
 
Dr. yake ni kama ile ya mfalme mstaafu au zile za kainerugaba msemakweli au ya pale Biafra?
 
Criss Mauki anajifanya Dr wakati ni Dr uchwara.....
Ni Dr pekee Tanzania kwenye hayo mambo

Acha zarau kama ujui kitu
Hiyo ni biashara dada, kuwa muelewa
Mauki kuwa MC wa Kitchen Party ni chini sana kwa msomi wa Hadhi yako. Kwa nini usijikite kwenye kazi za kutumia akili zaidi?
Ni mwalimu UD pale, unataka afanye kazi wapi?
Dr. yake ni kama ile ya mfalme mstaafu au zile za kainerugaba msemakweli au ya pale Biafra?
Kasomea South Africa, yupo vizuri mkuu
 
Ukweli mtupu, japo hiyo sio kwa wanawake tu hata wanaume wanapenda hizo suprise na zawadi
Hapa tumeenda sawa dada yangu hakuna kiumbe asie penda pet hata awe na nguvu kama big show au undetaker wote mkilijua hilo dunia itakuwa sehemu salama ya kuishi.
 
Ukiwa huna hela unadharaulika ukiwa busy kuzipata hela hawakutaki sasa nyie wadada mnataka nini has a? Toa hivyo vizawadi vidogo halafu uwe huna uwezo wa kuwafanyia makubwa.Anyway wanaume tumeumbwa mateso.
Umefikiria mbali sana.
 



Sometimes zina msaidia kupata kick za kitaa, siunajua tena, ili upate mabinti wazuri lazima uwe na mada nzuri za kuwa pamba.... Binafsi sidhani eti mapenzi ni upande mmoja kwangu najua ni pande zote, the same feelings women have are the same to man, but mnapokua matured enough mnancho takiwa ku dumisha mapenzi yenu huku mkiangalia ni namna gani mtaishi kwa furaha zaidi baadae, na hii itawezekana katika ushirikiano katika utafutaji na uwekezaji pasipo kua na tabaka la ku onekana kupendwa au kuto pendwa.....
 
Ukiwa huna hela unadharaulika ukiwa busy kuzipata hela hawakutaki sasa nyie wadada mnataka nini has a? Toa hivyo vizawadi vidogo halafu uwe huna uwezo wa kuwafanyia makubwa.Anyway wanaume tumeumbwa mateso.

Wanaume mmeumbwa mateso
 

Ukuni kwa kweli lazima ukolee moto hivi hivi heshima hamna na hizo suprises zote itakuwa = work done is equally to zero
 
wanawake ni shida usipoweza kumshindilia nii shida kama huna hela ni shida ss wanajifanya kusapoti hiyo nadhalia ya ni vijisapraisi,hii haiingi akili abadani.
 
Maisha ya ss ni hela na mshindo bac kama hakuna mwanamke anayetaka mwanaume wa vijisapraisi uchwara utaachwa mara moja!hayo yanafanywa na wanaojidai wanaishi kizungu na wana kila kitu.Ss jaribu uone mtoto mkali alfu unamtembeza na daladala ukipiga kimoja ndo mpaka mwezi ujao kisa unamoelekea vi chokoleti utarudi kwenye uzii huu niambie matokeo mzeee!
 
Tabia uliyoielezea hapa kutuhusu wanaume naona km ulikuwa unanisema mimi..! Yaani hizo ndo tabia zangu 100%. Nafurahi kumbe nna tabia nzuri,acha niendelee nazo. Sipendi kuombwa hela na mwanamke....!!
 
Tatizo mna mahitaji mengi mnooooo......acha nifanye kwa kiasi mengine nitamuachia Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…