DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,904
Tutegemee siku moja kusikia ikulu ya magufuli imevamia na kikosi kinachoongozwa na Makonda(Bashite)Alievuruga mkutano wa Nape ni mtoto kipenzi wa baba mwenye nyumba acheni kumung'unya maneno na haya yote anayofanya yana baraka zote za mkuu. Tutegemee makubwa zaidi ya haya.