simon mato
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 926
- 485
Ndugu wanajamvi;
Naandika haya kwa masikitiko makubwa sana nikiwa shuhuda kwa mambo yanayotokea katika chama changu na katika taifa langu pendwa.
CCM tujirekibishe kama wafuasi na wanachama wazalendo:
Ni takribani masaa yamepita tokea kwa kuenguliwa kwa waziri wa michezo, sanaa na utamaduni Mhe. Nape lakini cha kushangaza wengine tunajisahau kwa kusifia na kupiga vigelegele, shangwe vifijo na nderemo. Tunajivua akili yetu na kujisahau kabsaa.
Nape Historia itambeba siku zote;
Siyo Mara yangu ya kwanza kumwita Nape Shujaa wa mabadilko ndani ya chama na taifa kwa ujumla; Tuanzie na Mzee Nauye mwenyewe Babake Nape, ni mtu aliyetumikia chama kwa uadilifu na kwa uzalendo wa hali ya juu bila kuhusishwa na kashfa yoyote ndani na nje ya chama.
Nape alianza mageuzi ndani ya CCM tokea akiwa kijana kwa bahati nzuri alipewa sauti yenye nguvu na high influencing power alikuwa akisikika kukemea maovu hadharani bila kujali usalama wa maisha yake.
Nape aliungana na Kinana katika harakati ya kupambana na CCM maslahi , Nape aliongoza vita ya kuwafukuza wale wote walioitwa wafalme na ma herode kwenye chama bila kujali usalama wa maisha yake.
Mafisadi wote wa CCM ilifika mahali wasikie jina lolote lakini wasisikie jina Nape kwa sababu ya Ideologies zake, Leo hii tunakuwa wepesi tunasahau vita ya 2015 ambapo huyu kijana alinusurika maisha yake kisa tyuuu kufia chama.
Wengine walishinda lakini Leo ukiwauliza walishindaje hawajui leoo, utasikia muuluze J.Makamba, Mwighuru na Nape , leo CCM tunasahau hadi " Goli la mkono" nimefadhaika sana na nimekerwa sanaa.
Wakati hawa vijana wanaweka rehani maisha yao wengine walikuwa wanabadilisha Clubs na makasino na warembo wa bongo, ila wao waliona uhai wao kama ni kitu kidogo ilimradi tuuh CCM ishinde vita.
Leoo hiii Nape anazuiwa kufanya press conference na police CCM tunashangilia naomba mjiulize kwanza Comrade A. KINANA amejisikiaje baada ya haya maswahibu kumpata Nape ndipo angalau turudi kwenye mjadalah huu.
Na lengo la Nape ilikuwa kuja kumshukuru tuuh Rais na kumpongeza waziri mtarajiwa mhe. H.Mwakyembe pamoja na kushukuru vyombo na wadau mbalimbali wa habari. Kama CCM ni mda wa kusimama imara sikuzote na kuwa pamoja kama siku zote hatupo tena kwenye nyakati za kawaida.
Nyie mnaoshangalia jiulizeni kwanza ata Mzee JK amejisikiaje vitu vingine ni kutumia tuuh akili ya kawaida siyo mpaka uweke uwendawazimu kwenye kadamnasi kama hii kama huna la kufanya si uombe utapewa ata ushauri.
Kwako Nape popote ulipo kuna maisha baada ya uwaziri just cool calm watanzania wamekupima ndani ya serikali na nje ya serikali ukiwa mwanachama mtiifu wa CCM just take it easy brother hakuna jambo lisilokuwa na mwisho. Sisi kama CCM tuliopata kulelewa chini ya comrade A. Kinana tupo na wewe daima.
Wengi walipita hakuna atakayebaki milele after all kuna maisha nje ya siasa.
Ni wako kijana mtiifu na mzalendo kutoka Lumumba.
0715829833
Naandika haya kwa masikitiko makubwa sana nikiwa shuhuda kwa mambo yanayotokea katika chama changu na katika taifa langu pendwa.
CCM tujirekibishe kama wafuasi na wanachama wazalendo:
Ni takribani masaa yamepita tokea kwa kuenguliwa kwa waziri wa michezo, sanaa na utamaduni Mhe. Nape lakini cha kushangaza wengine tunajisahau kwa kusifia na kupiga vigelegele, shangwe vifijo na nderemo. Tunajivua akili yetu na kujisahau kabsaa.
Nape Historia itambeba siku zote;
Siyo Mara yangu ya kwanza kumwita Nape Shujaa wa mabadilko ndani ya chama na taifa kwa ujumla; Tuanzie na Mzee Nauye mwenyewe Babake Nape, ni mtu aliyetumikia chama kwa uadilifu na kwa uzalendo wa hali ya juu bila kuhusishwa na kashfa yoyote ndani na nje ya chama.
Nape alianza mageuzi ndani ya CCM tokea akiwa kijana kwa bahati nzuri alipewa sauti yenye nguvu na high influencing power alikuwa akisikika kukemea maovu hadharani bila kujali usalama wa maisha yake.
Nape aliungana na Kinana katika harakati ya kupambana na CCM maslahi , Nape aliongoza vita ya kuwafukuza wale wote walioitwa wafalme na ma herode kwenye chama bila kujali usalama wa maisha yake.
Mafisadi wote wa CCM ilifika mahali wasikie jina lolote lakini wasisikie jina Nape kwa sababu ya Ideologies zake, Leo hii tunakuwa wepesi tunasahau vita ya 2015 ambapo huyu kijana alinusurika maisha yake kisa tyuuu kufia chama.
Wengine walishinda lakini Leo ukiwauliza walishindaje hawajui leoo, utasikia muuluze J.Makamba, Mwighuru na Nape , leo CCM tunasahau hadi " Goli la mkono" nimefadhaika sana na nimekerwa sanaa.
Wakati hawa vijana wanaweka rehani maisha yao wengine walikuwa wanabadilisha Clubs na makasino na warembo wa bongo, ila wao waliona uhai wao kama ni kitu kidogo ilimradi tuuh CCM ishinde vita.
Leoo hiii Nape anazuiwa kufanya press conference na police CCM tunashangilia naomba mjiulize kwanza Comrade A. KINANA amejisikiaje baada ya haya maswahibu kumpata Nape ndipo angalau turudi kwenye mjadalah huu.
Na lengo la Nape ilikuwa kuja kumshukuru tuuh Rais na kumpongeza waziri mtarajiwa mhe. H.Mwakyembe pamoja na kushukuru vyombo na wadau mbalimbali wa habari. Kama CCM ni mda wa kusimama imara sikuzote na kuwa pamoja kama siku zote hatupo tena kwenye nyakati za kawaida.
Nyie mnaoshangalia jiulizeni kwanza ata Mzee JK amejisikiaje vitu vingine ni kutumia tuuh akili ya kawaida siyo mpaka uweke uwendawazimu kwenye kadamnasi kama hii kama huna la kufanya si uombe utapewa ata ushauri.
Kwako Nape popote ulipo kuna maisha baada ya uwaziri just cool calm watanzania wamekupima ndani ya serikali na nje ya serikali ukiwa mwanachama mtiifu wa CCM just take it easy brother hakuna jambo lisilokuwa na mwisho. Sisi kama CCM tuliopata kulelewa chini ya comrade A. Kinana tupo na wewe daima.
Wengi walipita hakuna atakayebaki milele after all kuna maisha nje ya siasa.
Ni wako kijana mtiifu na mzalendo kutoka Lumumba.
0715829833