Ujumbe Muhimu kwa wana CCM Wote

Ujumbe Muhimu kwa wana CCM Wote

Chama bora kisimame kama chama na Nchi isimamiwe na Raisi maana mnapoelekea si kuzuri utadhani baba kafa sasa mnagombania mali
 
Nape alitakiwa kufahamu fika kuwa kuongoza na tabia za dola siyo kama uongozi wa NGO ambazo viongozi wake hufanya maamuzi kwa haraka. Hakupaswa kuchukua upande kabla ya kujihakikishia msimamo wa Rais wa nchi. Ours is a republic, Rais ni Mkuu wa nchi na Mkuu wa serikali, na anakuwa na mamlaka makubwa kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Kwa kifupi ni kwamba Rais ni mbunge (sehemu ya Bunge) mawaziri ni wasaidizi wake. Kwa maana mengine Rais ni waziri wa kila wizara. Kila uammuzi wowote unaochukuliwa na waziri yeyote shari mhusika ajiridhishe kuwa ana idhini/consent ya Rais. Huu ndio ukweli, anayetaka kufahamu Zaidi awaulize wasomi wa sayansi ya siasa. Kwa hiyo, katika suala husika, kitendo cha Nape kuchukua upande tofauti na mkuu wa serikali ilikuwa tayari amejiondoa serikalini. Alichokifanya JPM ni ku-facilitate alichokuwa ameamua Nape.
 
Nape alitakiwa kufahamu fika kuwa kuongoza na tabia za dola siyo kama uongozi wa NGO ambazo viongozi wake hufanya maamuzi kwa haraka. Hakupaswa kuchukua upande kabla ya kujihakikishia msimamo wa Rais wa nchi. Ours is a republic, Rais ni Mkuu wa nchi na Mkuu wa serikali, na anakuwa na mamlaka makubwa kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Kwa kifupi ni kwamba Rais ni mbunge (sehemu ya Bunge) mawaziri ni wasaidizi wake. Kwa maana mengine Rais ni waziri wa kila wizara. Kila uammuzi wowote unaochukuliwa na waziri yeyote shari mhusika ajiridhishe kuwa ana idhini/consent ya Rais. Huu ndio ukweli, anayetaka kufahamu Zaidi awaulize wasomi wa sayansi ya siasa. Kwa hiyo, katika suala husika, kitendo cha Nape kuchukua upande tofauti na mkuu wa serikali ilikuwa tayari amejiondoa serikalini. Alichokifanya JPM ni ku-facilitate alichokuwa ameamua Nape.
Unajua maana ya kuwa waziri Mwenye dhamana?? By the way nakupa mfano; Profesa Sospeter Muhongo alijiuzulu kwenye scandal ya escrow ingawa Tume haikuonyesha na ilibaini kuwa hakuchukua ata senti mmoja But jiulize kwanini alijiuzulu ndipo turudi kwenye mjadalaa!!
 
Unajua maana ya kuwa waziri Mwenye dhamana?? By the way nakupa mfano; Profesa Sospeter Muhongo alijiuzulu kwenye scandal ya escrow ingawa Tume haikuonyesha na ilibaini kuwa hakuchukua ata senti mmoja But jiulize kwanini alijiuzulu ndipo turudi kwenye mjadalaa!!
fikiri kisayansi, achana na hizo rhetoric. Nimekwambia mawaziri wote ni wasaidizi (helpers of the President, period) wa Rais. Mengine ni mbwembwe tu za lugha ya Kiswahili.
 
fikiri kisayansi, achana na hizo rhetoric. Nimekwambia mawaziri wote ni wasaidizi (helpers of the President, period) wa Rais. Mengine ni mbwembwe tu za lugha ya Kiswahili.
Jamani naombeni msaada kwa huyu nduliii
 
Nape amekosea kushindwa kujua anatumiwa na wapinzani na wauza ngada. natumaini akitambua kosa na kusimama bila kutetereka kwenye itikadi ya ccm atarejea tena kwenye ngazi ya juu ccm. yeye bado ni kijana
Itikadi ya ccm IPI hiyo? Ile ya kumlinda mtuhumiwa wa uvamizi wa silaha kwenye kituo cha habari?

STUPID
 
Mbona mnalalamika ndugu zangu mlioko CCM?
Si vizuri kulalama na kunung'unika ndugu zangu,msaidieni mheshimiwa M/kiti ainyooshe nchi.
Asanteni sana.
 
Mi wala siumii, maana kwenye uchaguzi 2015, walivyo wafanyia wapinzani inauma sana, Zanzibar na jecha, computer za ukawa na taasisi za kiraia, acha wavurugane tu
 
CCM wakubali wakatea awakumuandaa Rais wa Nchi mapema ndo madhara yake Aya
 
Moto wa haki umeshaanz kuwaka Tanzania, hima hima Watanzania tuuchochee huu moto usizime.
Watanzania wepi? Hawa wenye upoyoyo?
Watanzania wanaotumbuliwa na kufurahia kutumbuliwa kwao?
Watanzania wanaosomeshwa namba za uchumi wa kupiga sound?
Watanzania hawa wa Shilawadu?
 
Mbona mnalalamika ndugu zangu mlioko CCM?
Si vizuri kulalama na kunung'unika ndugu zangu,msaidieni mheshimiwa M/kiti ainyooshe nchi.
Asanteni sana.
Watanzania tuungane 'wanasiasa wasitugawe kwa dini'itikadi na Hata jinsia.
 
Alievuruga mkutano wa Nape ni mtoto kipenzi wa baba mwenye nyumba acheni kumung'unya maneno na haya yote anayofanya yana baraka zote za mkuu. Tutegemee makubwa zaidi ya haya.
Tujiulize ile mizigo bandarini ni ya nani ngoja nione kwenye magazeti ipi itakuwa ndiyo Habari kati ya Nape na mukulu
 
CCM kuna mwanaume mmoja tuuh naye ni Nape Nauye kijana Mwenye ujasiri wa hali ya juu sanaa na ujasiri wake haujaanza Leo wala kesho tunamjua kwa mengi aliyoyafanya chamanii
 
Tetty sikuzote inapokuja jambo lenye maslahi ya Taifa ni vyema tukaweka uchama pembeni hii haikubaliki ata kidogo leo kwangu kesho kwako ata Mwenyekiti wako Chama analijua hiloo leo utashangilia Nape kafanyiwa hivii Je kesho akifanyiwa mtu mwingine kwenye chama chenu utajisikiaje

Hujajibu Swali umeyaona haya sababu aliyefanyiwa ni KADA??Tulikusoma ukifurahia wapinzani wakifanyiwa kama haya na zaidi!Jibu Swali umeyaona baada ya KADA kufanyiwa??

Siye tunayaangalia mapambano haya kwa msingi wa kitaifa nyie je pande ya KIJANI?
 
CCM hata angesima LOWASSA upinzani usingetoboa.

Magufuli ni zao la NAPE. Hakuna aliemfahamu MAGU CCM eti Presidential material. Hakujiandaa na hakutarajia kuwa Rais. Hakuwa kwenye system.

Kupambana na E. Lowassa siyo mchezo ni hatari kwa Afya yako.

Shukrani zote ni kwa Nape na Kinana. JPM huna budi kumuomba radhi NAPE.

NAPE & J. MAKAMBA wana siri nyingi sn za ushindi za huyu JPM. Wakiamua kumwaga ubuyu tunarudi kwenye uchaguzi upya, majimbo na Urais.
Acha uongo. Wamwage ubuyu turudi kwenye uchaguzi? Naona unajitekenya mwenyewe sasa. Subiri 2020. Hata kama wakimwaga . Kwisha habari yao.
 
Huwezi jua pamoja na juhudi zake mwisho wakaona bora wampe uwaziri kwa kuona aibu lakini ingekuwa ni maamuzi yake binafsi mkuu sidhani kama alipenda kumpa nape uwaziri na wengine pia haswa wale ambao wana mizizi,ukitaka ku prove hilo angalia jinsi walivyo zibwa midomo yaani ni kama mtu anakusubiri ukosee tu akuripue.
 
Back
Top Bottom