SijakuelewaaaaNaona mnafatijiana kwa maovu mlioliolifanyia taiga.
UPi msimamo wakoo Mkuu!!!Wanasiasa wote baba yao mmoja, acha wapuruane kwa maslahi ya Taifa.!
CCM hata angesima LOWASSA upinzani usingetoboa.Wana JF,
Napenda kujua, Kati ya nape na Magufuli nani aliyeisalimisha ccm July 2015 pale Dodoma?
Ni nani aliye wapa kifua mbele ccm wakati wa kampeni mwaka 2015.
NB: Najua kila mtu alikuwa na wajibu wake kwa wakati wake.
Ngoja nikujibu mara ya mwisho! Hakuna anayepongeza hicho kilichotokea.....Tofautisha political issues na mambo yenye maslahi ya Taifa. Ata Mwenyekiti wako amelaani wewe upo busy kusifia ujinga ngojeni tuendelezee taifa lenye watu wanafikiii
Imeniuma sanaa leoo hii Nape ndo wa kutishiwa na Bastola kama nchi tumefika WAP??
Nimekupa like leo maana naona akili zimeanza kurudi. Tulikupa angalizo hapa mapema kuwa unachokishabikia ni "feki" lakini hukutuelewa..!Imeniuma sanaa leoo hii Nape ndo wa kutishiwa na Bastola kama nchi tumefika WAP??
Mkuu hao wote ni CCM, inabidi CCM isambaratike ili nchi isonge mbele....UPi msimamo wakoo Mkuu!!!
na
nape amekosea kushindwa kujua anatumiwa na wapinzani na wauza ngada. natumaini akitambua kosa na kusimama bila kutetereka kwenye itikadi ya ccm atarejea tena kwenye ngazi ya juu ccm. yeye bado ni kijanan
Lakini trust me hakuna chama chenye watu makini kama CCM sema kuna wachache tyuu wanatuharibia misingi yetuMkuu hao wote ni CCM, inabidi CCM isambaratike ili nchi isonge mbele....
Kigezo siyo nje ya system Angalia mambo mangapi Huyo mtu alivofanya kazi kizalendo kwa kuhatarisha uhai wake na pengine kupoteza mda wake mwingi kwenye chama na kuachana na maisha mengine lazima tuwe na shukraniiYeah hiyo kwakweli imetusononesha wengi.Lakini kwa Upande mwingine ni Nzuri kwa Nape kuona kwamba ah kumbe unapokuwa nje ya SYSTEM mambo ndiyo haya.
Tunapokuwa kwwnye mambo yenye maslahi ya Taifa ni boraa ukaepuka kuweka uchama pembeni Mkuu!!
Mkuu hajatumika, kama nchi haiwezekani mtu mmoja tu akawa hahuswi, na akiguswa baba ake anakuja juu!!!na
nape amekosea kushindwa kujua anatumiwa na wapinzani na wauza ngada. natumaini akitambua kosa na kusimama bila kutetereka kwenye itikadi ya ccm atarejea tena kwenye ngazi ya juu ccm. yeye bado ni kijanan
Nakuarifu kwa masikitikona
nape amekosea kushindwa kujua anatumiwa na wapinzani na wauza ngada. natumaini akitambua kosa na kusimama bila kutetereka kwenye itikadi ya ccm atarejea tena kwenye ngazi ya juu ccm. yeye bado ni kijanan
Kukubali kosa ni ukomavu na mwanzo wa suluhu. Kubali yaishe twende pamoja.Tunapokuwa kwwnye mambo yenye maslahi ya Taifa ni boraa ukaepuka kuweka uchama pembeni Mkuu!!