Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,018
Haya lete ukweli ww.Acha uongo. Wamwage ubuyu turudi kwenye uchaguzi? Naona unajitekenya mwenyewe sasa. Subiri 2020. Hata kama wakimwaga . Kwisha habari yao.
Haya lete ukweli ww.Acha uongo. Wamwage ubuyu turudi kwenye uchaguzi? Naona unajitekenya mwenyewe sasa. Subiri 2020. Hata kama wakimwaga . Kwisha habari yao.
acha unafiki mbona wapinzani wanateswa kila siku mnashangilia mlidhani mtakuwa salama eeeh na bado bashite na baba ake watawanyoosha mpka waweke cabinet yao wanafunzi tu juzi uko mwanza walipigwa na ffu mbona hamkujitokeza kulaaniImeniuma sanaa leoo hii Nape ndo wa kutishiwa na Bastola kama nchi tumefika WAP??