Msaada wa kujulishwa location aliyopo Mama Confessor, best'anguUnatakaje?....niambie best'angu
Follow me...😊😉Msaada wa kujulishwa location aliyopo Mama Confessor, best'angu
In the closet...😊💃Follow you where ?best![]()
Do you guarantee my safety in there ?In the closet...![]()
With full of protectionism darling...😊Do you guarantee my safety in there ?
Protectionism kama ile ya Britain against commodities produced in other countriesWith full of protectionism darling...![]()
😅😅😅duuhProtectionism kama ile ya Britain against commodities produced in other countries
Vip my darling wangu. Mbona umeangua kicheko ?duuh
Zaidi ya huo darling...Vip my darling wangu. Mbona umeangua kicheko ?
Sawa darling.Zaidi ya huo darling...
Wow😍😍Sawa darling.
I surrender under your protection.
Ushauri mzuri;kwa tunaojielewa huwa tunaakikisha 3/4 ya mapato ni kwa bi mkubwa pamoja na maendeleo,na 1/4 ni kwa michepuko na starehe,na mchepuko ili ufaidi matunda yangu lazima nimjaze tumbo (wako wawili tu);kuhusu kulogwa,nilishawaambia watu wangu wa karibu pamoja na bi mkubwa,kama nitakuwa tofauti kimaamuzi,inabidi waingie kazini.





yani weweMkuu umekosea kabisa yani,tena ukichunguza hapo nmewatetea wake wa ndoa. Ningekua mchepuko ningejitetea mimi mwenyewe.Huyo mtoa maada sio kwamba haja olewa, sema tu,
KILA ANAYE KULA MZIGO, ANADHANI KAMPATA WA KUMUOA, kumbe sivyo......!
Wakianza stories anaambiwa mim ninamke wewe tafuta wako,
SASA KAONA UMRI UNAZIDI KWENDA, AMEAMU KULETA UZI HUMU, ILI APUNGUZE JAZBA ZAKE......!
Ntawakemea nini sasa mkuu,si ntajijaza hasira tu watu wazima waliofikia kuoa kuishi na wake ni watu wanaoelewa zuri na bayaMwanzishaji uzi.
Nilifikiri utakemea kabisa tabia ya uchepukaji au kutembea nje ya ndoa au kwa jina lingine lisilopendwa kuzini. Kumbe umeamua kuita jina jingine ambalo linapunguza ukali wa maneno.
UKWELI ambao mara nyingi hausemwi sana ni kwamba wapo wanaume wengi tu ambao hawachepuki na hawana tabia ya kuchepuka.
Ni sawa na watu wanavyosema siku hizi hakuna akina dada bikra, lakini ukweli wapo wengi tu wanaoolewa wakiwa bikra.
Kila mume awe na mke wake, na kila mke awe na mume wake BASI.
Acha kuhadithiwa, OLEWA UJIONE MWENYEWEMkuu umekosea kabisa yani,tena ukichunguza hapo nmewatetea wake wa ndoa. Ningekua mchepuko ningejitetea mimi mwenyewe.
Halafu mkuu wangu mimi niko hivi haijalishi mimi nafanya sawa au sio sawa ila sikuzote ntasimamia ukweli. Na ukweli ndio huo