Namkumbusha tu...siunajua binadam kujisahau.mkuu ushauri wako kwa wake za wtu unajisumua tu mtu mzima nayejua sababu za kutoka nje ya ndoa yake mwenyewe utamwambia nn akuelewe ?
DuhLelo makambo lobi makambo biso tokosuka wapi yo! Nzambe na ngai! Hapa usikute kuna mtu vyake vimeshaliwa kimasihara!
ᴹᵒᵏⁱˡⁱ ᵒʸᵒ ᵉᵗᵒⁿᵈᵃ ᵐᵃᵏᵃᵐᵇᵒ ᵉᵇᵉˡᵉ![]()
We boya usitangaze sasa kama mie ni mke wa mtu
Unanizibia fursa za kuvuliwa na wengine![]()
Braza hii account ni fyekela.Hivi wake za watu, wapi mnafeli.
Kuwapenda kaka za watu, waume zenu kuwakejeli
Mnavuliwa Kama viatu, na viwanaume vitapeli
Mnazitoa Siri zetu, kwa wasiokua wahalali
Mnaliwa chumbani kwetu, si Bora mkaliwe mbali
Hata marafiki zetu, mnagawa bila kujali
Eti kisa Hali zetu, mnadanganywa na magari
Nawapa kilio chetu, tutawachoma kwa petroli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina zaidi ya hii...nilikua msomaji tuBraza hii account ni fyekela.
Tokea 2017 imekuja kutoa nyuzi double 2020 tena kwa nusu SAA...
ID yako (backup) nyengine mi IPI?
#YNWA
Wrote from Anfield..!!
Mbona umebadili principle za usomaji ukaamua kutoa nyuzi 3 kwa nusu SAA??
Aha...ngoja nikapitie terms, am new here.Mbona umebadili principle za usomaji ukaamua kutoa nyuzi 3 kwa nusu SAA??
#YNWA
Wrote from Anfield..!!
Ila tatizo lipo wp Kwan,.?Mbona umebadili principle za usomaji ukaamua kutoa nyuzi 3 kwa nusu SAA??
#YNWA
Wrote from Anfield..!!
Hili ndio jibu?
Ukitoa nyuzi nyingi halafu ukiwafata PM wanakuona Fyekela..
Kina nan hao?Ukitoa nyuzi nyingi halafu ukiwafata PM wanakuona Fyekela..
#YNWA
Wrote from Anfield..!!
😀😀