Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 4,889
- 8,210
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh
TUFANYE NINI PINDI TUKIKUTA COMMENTS ZA KUMTUKANA ALLAH NA MTUME WAKE AU UISLAMU KATIKA MITANDAO YA KIJAMII?
SHEIKH ABUL KHATWAAB ABDALLAH HUMEID حفظه الله
Naam naomba niwasilishe kile ambacho kidogo Allah alichonijaalia
Ujumbe huu mahsusi kwa watu wa mitandao.
kwenye Mitandao humu hutokea mijadala mingi inayohusu Kuuliza au kuelezea imani tofauti.
Ila sana mijadala hii huishia kwenye chuki kubwa baina ya watu ambao hata hawajuani.
Tahadhari ninayotoa kwa Ndugu zangu waislamu msipende kujadiliana na mtu ambae hataki kuelimishwa ambae amekuja kwa nia ya chuki kuhusu Uislamu wetu.
Allah anasema katika Qur'an yake
6:108.
Wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, wasije na wao wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila ya kujua. Namna hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao Mlezi, naye atawaambia waliyo kuwa wakiyatenda.
Kulingana na Aya hio ni bora zaidi ukaachana na mijadala ambayo itapelekea Allah kutukanwa
Otterhound adriz FaizaFoxy
TUFANYE NINI PINDI TUKIKUTA COMMENTS ZA KUMTUKANA ALLAH NA MTUME WAKE AU UISLAMU KATIKA MITANDAO YA KIJAMII?
SHEIKH ABUL KHATWAAB ABDALLAH HUMEID حفظه اللهNaam naomba niwasilishe kile ambacho kidogo Allah alichonijaalia
Ujumbe huu mahsusi kwa watu wa mitandao.
kwenye Mitandao humu hutokea mijadala mingi inayohusu Kuuliza au kuelezea imani tofauti.
Ila sana mijadala hii huishia kwenye chuki kubwa baina ya watu ambao hata hawajuani.
Tahadhari ninayotoa kwa Ndugu zangu waislamu msipende kujadiliana na mtu ambae hataki kuelimishwa ambae amekuja kwa nia ya chuki kuhusu Uislamu wetu.
Allah anasema katika Qur'an yake
6:108.
Wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, wasije na wao wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila ya kujua. Namna hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao Mlezi, naye atawaambia waliyo kuwa wakiyatenda.
Kulingana na Aya hio ni bora zaidi ukaachana na mijadala ambayo itapelekea Allah kutukanwa
Otterhound adriz FaizaFoxy
