kelvin baraka
Member
- Sep 7, 2016
- 39
- 11
Me sijaona hiyo not found ila mpaka mudawa mwisho niliangalia system inasema stil inprocess,ila mpaka saiv haifunguki hata kulog in haiwezekani, so! tatizo itakua nn aseee?Acha kuleta utani kwenye mambo ya serious sisi wenyewe hapa ni not found halafu unatupa presha tena