Ujumbe huu wa 'TCU Not Found' Usitutishe

Ujumbe huu wa 'TCU Not Found' Usitutishe

Acha kuleta utani kwenye mambo ya serious sisi wenyewe hapa ni not found halafu unatupa presha tena
Me sijaona hiyo not found ila mpaka mudawa mwisho niliangalia system inasema stil inprocess,ila mpaka saiv haifunguki hata kulog in haiwezekani, so! tatizo itakua nn aseee?
 
Me sijaona hiyo not found ila mpaka mudawa mwisho niliangalia system inasema stil inprocess,ila mpaka saiv haifunguki hata kulog in haiwezekani, so! tatizo itakua nn aseee?
Kwan hukuingiza namba yako ya f4?
 
Lakini mkuu mbona kuna watu waliona kabisa wamechaguliwa lakini baada ya mda tena kuangalia wakaona"NOT FOUND".
Kama kuna ambae amepata kuona na bado anaona kajibiwa basi atume scr shot ya hicho kinachoonekana ili watu msifike mahala mkaonana hamfaani.
 
habari za kwenu? naomba kuuliza, nimefanya application 2nd round na ninataka kuprint selected programmes lakini kila navyojaribu kufanya hivyo nakutana na ujumbe 404 page Not Found. so mwenye ufahamu wa hii kitu anijuze tafadhali
 
habari za kwenu? naomba kuuliza, nimefanya application 2nd round na ninataka kuprint selected programmes lakini kila navyojaribu kufanya hivyo nakutana na ujumbe 404 page Not Found. so mwenye ufahamu wa hii kitu anijuze tafadhali
Second round hamna kuprint unaacha hvo hvo.
 
Back
Top Bottom