Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 4,741
- 17,992
- Thread starter
- #121
...Sidhani Kama alikuwa amelewaAlikuwa kanywa...? Hakukupigia honi kama yupo kwenye dharura...? Kuna ukakasi hapa...eleza vizuri unaweza kupata msaada...
Je funguo zako alikurudishia...?
....Hakunipigia Horn
...Alinirudishia baada ya kunipiga makofi masikio, Hadi mwaka huu wakati wa baridi masikio yangu yalikuwa yanauma kwa sababu ya yale makofi