Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Ujumbe huu uwafikie Askari wa JWTZ

Ongea naye aridhie.

Na kwa kuwa hawahudumiwi hospital za kiraia, namgonga kisha namhudumia.

Atakuja kufatwa kupelekwa hospital ya Jeshi TMA kwa uangalizi zaidi.
Safi kabisa ila itoshe kusema afande Elias K ni muoga sana yaani mpka kujibu anaogopa .
Mimi nakuita afande njoo tumalize utata hapo Arusha bablah mbona gharama zote zitalipwa mpaka ukipigwa madaktari wapo kukutibu maana itakuwa ni ajari kazini .

Nb .Itafanywa siri sana .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Katabia ka askari wetu kujitia amira na kuumuka mabega juu na kutishia raia hususani mabarabarani wakiwa na magari
ni kubwa zaidi inavyofikiriwa , ila ni ushamba tu hasa askari mbarara ,siyo maofisa wakubwa. Wanajisahau kuwa wanatokana na raia, hata mishahara ni kodi ya raia. Lakini pia traffic police wanawagwaya wakivunja sheria
 
Safi kabisa ila itoshe kusema afande Elias K ni muoga sana yaani mpka kujibu anaogopa .
Mimi nakuita afande njoo tumalize utata hapo Arusha bablah mbona gharama zote zitalipwa mpaka ukipigwa madaktari wapo kukutibu maana itakuwa ni ajari kazini .

Nb .Itafanywa siri sana .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Sio Elias K sio askari yeye ni raia,na sio yeye aliesema anaweza kumzibua raia muda wowote
 
Sio Elias K sio askari yeye ni raia,na sio yeye aliesema anaweza kumzibua raia muda wowote
Ni nani kaka ?
Maana catalyst niko hapa kuhakikisha pambano linakuwepo .

Maana wizara ya afya tushampata muwakilishi wetu sasa bado watu wa wizara ya ulinzi watoe mtu wao ili ndugu yetu Restless Hustler afurahie kulipiwa kisasi maana kaonewa na hao watoto wa bakabaka

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Safi kabisa ila itoshe kusema afande Elias K ni muoga sana yaani mpka kujibu anaogopa .
Mimi nakuita afande njoo tumalize utata hapo Arusha bablah mbona gharama zote zitalipwa mpaka ukipigwa madaktari wapo kukutibu maana itakuwa ni ajari kazini .

Nb .Itafanywa siri sana .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ni kijana wa hovyo.

Nimemsoma kuna mahali alirukishwa kichura chura na mwanajeshi kisa kadai nauli.

Bila shaka ni boda boda ama konda wa Hiace , au la kijana wa Bajaji.

Ndiyo maana, akisikia kuna wanajeshi anapata wazo kuwa wote tupo sawa. Kwamba wote sisi ni lele mama kwa hao walinzi.

Ajifunze kujipambania. Aache unyonge wa kipumbavu.
 
Ni nani kaka ?
Maana catalyst niko hapa kuhakikisha pambano linakuwepo .

Maana wizara ya afya tushampata muwakilishi wetu sasa bado watu wa wizara ya ulinzi watoe mtu wao ili ndugu yetu Restless Hustler afurahie kulipiwa kisasi maana kaonewa na hao watoto wa bakabaka

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ukiwa mkaidi utashughulikiwa TU

Askari jeshi anafundishwa namna ya kupambana na adui (especially mgeni) anaetishia usalama wa taifa,

Hayo wanayoyafanya Kwa raia ni baadhi TU ya mambo wanayofanyiwa mateka vitani
Mwingiliano wa askari jeshi na raia ndo umezaa haya yote

Nilichogundua wengi humu ni keyboard warriors
 
Ni kijana wa hovyo.

Nimemsoma kuna mahali alirukishwa kichura chura na mwanajeshi kisa kadai nauli.

Bila shaka ni boda boda ama konda wa Hiace , au la kijana wa Bajaji.

Ndiyo maana, akisikia kuna wanajeshi anapata wazo kuwa wote tupo sawa. Kwamba wote sisi ni lele mama kwa hao walinzi.

Ajifunze kujipambania. Aache unyonge wa kipumbavu.
Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.

Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
 
Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.

Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
Unanijua kwani Mimi?

Sijisifii tu bure. Nishawatwanga wala si mara moja.

Na huyo mkubwa wao simpigii anipe msaada. Bali nampigia kumpa taarifa kuwa nimemtwanga askari wake.
 
Ni kijana wa hovyo.

Nimemsoma kuna mahali alirukishwa kichura chura na mwanajeshi kisa kadai nauli.

Bila shaka ni boda boda ama konda wa Hiace , au la kijana wa Bajaji.

Ndiyo maana, akisikia kuna wanajeshi anapata wazo kuwa wote tupo sawa. Kwamba wote sisi ni lele mama kwa hao walinzi.

Ajifunze kujipambania. Aache unyonge wa kipumbavu.
Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.

Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
 
Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.

Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
Ana dharau Sana huyo brother
 
Kwahiyo hizo Ni kazi za hovyo? Acha dharau mkuu. Kama Mungu alikujaalia kusoma na kupata kipato cha juu usidharau hustles za wengine.
Huu unyonge ndiyo unakufanya unapigwa.

Sijasema kazi za hovyo, bali nimekuita wewe ndiye kijana wa hovyo. Unambeba mtu, alafu badala ya kukulipa haki (nauli) yako anakulipa kichura chura.

Na wewe kinyonge unaondoka kisha unakuja mtandaoni kuwatia wengine uoga? Hapana aisee!

Acha kutia huruma. Pambana mdogo wangu.

Alafu usiseme Mungu kanijalia. Nimeweka juhudi, alafu Mungu akanijazilishia. Sijawahi Daktari kwa bahati mbaya au kwa huruma.
 
Unanijua kwani Mimi?

Sijisifii tu bure. Nishawatwanga wala si mara moja.

Na huyo mkubwa wao simpigii anipe msaada. Bali nampigia kumpa taarifa kuwa nimemtwanga askari wake.
Physical fitness na akili ya askari haifanani

Kuna wengine wamenyimwa Access ya silaha na hawaruhusiwi kutoka nje Kwa Sababu ya akili walionayo

Endelea kuwatwanga
 
Physical fitness na akili ya askari haifanani

Kuna wengine wamenyimwa Access ya silaha na hawaruhusiwi kutoka nje Kwa Sababu ya akili walionayo

Endelea kuwatwanga
Siwaonei. Wala siwachokozi.

Na wakinizingua, nafanya kila namna kumalizana nao kidiplomasia.

Ila wakikaidi na kujidai wababe, nawapa wanachokitaka.

Nawatwanga.
 
Siyo kupigana na watatu kwa pamoja. Kwa nyakati tofauti.

Umri wangu sasa ni 40+. Nikiwa kijana shababi wa Kimasai kwenye my thirties, ndiyo walikula hicho kipondo.

Nawe ni askari?
Umesema una miaka 40+? Ila bado ndo unaandika kipumbavu hivi halaf kumbe ni Dr? Acha ujinga mkuu, Mwanajeshi hana Boss kila Mwanajeshi ni askari lakini sio kila askari ni mwanajeshi. Halafu ukazunymzia et tu Cpl? cpl ni international rank anampa darasa Cadet na kuendelea, Jeshi ni la wananchi wa tanzania sio mali ya mtu ukiona kuna mshenzi kaleta ushenzi ni yeye na sio jeshi. LA WANANCHI
 
Back
Top Bottom