The lastborn9319
JF-Expert Member
- Oct 30, 2021
- 919
- 1,860
Jamaa washamba sana
🖕🏿🖕🏿Kaa hapoUmeandika utumbo wa bata.
Safi kabisa ila itoshe kusema afande Elias K ni muoga sana yaani mpka kujibu anaogopa .Ongea naye aridhie.
Na kwa kuwa hawahudumiwi hospital za kiraia, namgonga kisha namhudumia.
Atakuja kufatwa kupelekwa hospital ya Jeshi TMA kwa uangalizi zaidi.
Maana..........,malizia mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Umeona drills za mazoezi walizokuwa
Wanafanya bagamoyo leo [emoji1]
Wameweka chupa za mo energy chupa za uhai wanazilenga
Hawa naona kwa sasa wasioneshe mazoezi yao hadharani maana
Ova
Sio Elias K sio askari yeye ni raia,na sio yeye aliesema anaweza kumzibua raia muda wowoteSafi kabisa ila itoshe kusema afande Elias K ni muoga sana yaani mpka kujibu anaogopa .
Mimi nakuita afande njoo tumalize utata hapo Arusha bablah mbona gharama zote zitalipwa mpaka ukipigwa madaktari wapo kukutibu maana itakuwa ni ajari kazini .
Nb .Itafanywa siri sana .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ni nani kaka ?Sio Elias K sio askari yeye ni raia,na sio yeye aliesema anaweza kumzibua raia muda wowote
Ni kijana wa hovyo.Safi kabisa ila itoshe kusema afande Elias K ni muoga sana yaani mpka kujibu anaogopa .
Mimi nakuita afande njoo tumalize utata hapo Arusha bablah mbona gharama zote zitalipwa mpaka ukipigwa madaktari wapo kukutibu maana itakuwa ni ajari kazini .
Nb .Itafanywa siri sana .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ukiwa mkaidi utashughulikiwa TUNi nani kaka ?
Maana catalyst niko hapa kuhakikisha pambano linakuwepo .
Maana wizara ya afya tushampata muwakilishi wetu sasa bado watu wa wizara ya ulinzi watoe mtu wao ili ndugu yetu Restless Hustler afurahie kulipiwa kisasi maana kaonewa na hao watoto wa bakabaka
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.Ni kijana wa hovyo.
Nimemsoma kuna mahali alirukishwa kichura chura na mwanajeshi kisa kadai nauli.
Bila shaka ni boda boda ama konda wa Hiace , au la kijana wa Bajaji.
Ndiyo maana, akisikia kuna wanajeshi anapata wazo kuwa wote tupo sawa. Kwamba wote sisi ni lele mama kwa hao walinzi.
Ajifunze kujipambania. Aache unyonge wa kipumbavu.
Unanijua kwani Mimi?Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.
Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
Siungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.Ni kijana wa hovyo.
Nimemsoma kuna mahali alirukishwa kichura chura na mwanajeshi kisa kadai nauli.
Bila shaka ni boda boda ama konda wa Hiace , au la kijana wa Bajaji.
Ndiyo maana, akisikia kuna wanajeshi anapata wazo kuwa wote tupo sawa. Kwamba wote sisi ni lele mama kwa hao walinzi.
Ajifunze kujipambania. Aache unyonge wa kipumbavu.
Kwahiyo hizo Ni kazi za hovyo? Acha dharau mkuu. Kama Mungu alikujaalia kusoma na kupata kipato cha juu usidharau hustles za wengine.Ni kijana wa hovyo.
Bila shaka ni boda boda ama konda wa Hiace , au la kijana wa Bajaji.
Ana dharau Sana huyo brotherSiungi mkono askari kumuonea raia asiye na makosa, ukionewa ripoti Kambi ya karibu na wewe ila inategemea na akili ya utakaowakuta.
Ila BWANA Dr cha kujisifia kuwa unaweza kupambana na askari na ukamshinda utaumia ndugu yangu hata huyo mkubwa unaemsemea hatakusaidia
Huu unyonge ndiyo unakufanya unapigwa.Kwahiyo hizo Ni kazi za hovyo? Acha dharau mkuu. Kama Mungu alikujaalia kusoma na kupata kipato cha juu usidharau hustles za wengine.
Physical fitness na akili ya askari haifananiUnanijua kwani Mimi?
Sijisifii tu bure. Nishawatwanga wala si mara moja.
Na huyo mkubwa wao simpigii anipe msaada. Bali nampigia kumpa taarifa kuwa nimemtwanga askari wake.
Siwaonei. Wala siwachokozi.Physical fitness na akili ya askari haifanani
Kuna wengine wamenyimwa Access ya silaha na hawaruhusiwi kutoka nje Kwa Sababu ya akili walionayo
Endelea kuwatwanga
Umesema una miaka 40+? Ila bado ndo unaandika kipumbavu hivi halaf kumbe ni Dr? Acha ujinga mkuu, Mwanajeshi hana Boss kila Mwanajeshi ni askari lakini sio kila askari ni mwanajeshi. Halafu ukazunymzia et tu Cpl? cpl ni international rank anampa darasa Cadet na kuendelea, Jeshi ni la wananchi wa tanzania sio mali ya mtu ukiona kuna mshenzi kaleta ushenzi ni yeye na sio jeshi. LA WANANCHISiyo kupigana na watatu kwa pamoja. Kwa nyakati tofauti.
Umri wangu sasa ni 40+. Nikiwa kijana shababi wa Kimasai kwenye my thirties, ndiyo walikula hicho kipondo.
Nawe ni askari?