Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
Haha wafanyakazi na wanaccm aiseeHivi ndio heri ya mwaka mpya ilivyokuwa?
Haha wafanyakazi na wanaccm aiseeHivi ndio heri ya mwaka mpya ilivyokuwa?
Hatari sana tuendako.Haha wafanyakazi na wanaccm aisee
Kwahiyo tusio na kazi?Hatari sana tuendako.
Hahahaha mkuu nakuona unachambua chambua siasa ebu turudi zetu kwenye ODDS banaViongozi wa ccm ndio wezi wa rasilimali za nchi. Wakiongozwa na Rugemalila na mzee wa msoga.
Hahahaha mkuu nakuona unachambua chambua siasa ebu turudi zetu kwenye ODDS bana



Ha ha haa,huyu jamaa anachuki sana na wachaga,ungekua ww ni Mungu nadhani ungewaua wote kwa roho mbaya UliyonayoHivi nyie wezi wa rasilimali za nchi mlitaka magufuli awachekee tu kisa hajui kesho itakuwa nani. Nchi ulikuwa imejaa wezi kila kono. Hata Dr bana siku hizi kakaa kimya mana miladi hewa ndo ulikuwa inamfanya kuifagilia sana ccm kwa kila jambo sasa imekata na yeye kachanganyikuwa pia. Magufuli usiteteleke huku mtaani tunaheshimiana sana na usawa umekuja na pia heshima ya wasomi imerudi. Zamani MTU anaungaunga elimu baada ya mda unamkuta crdb kisa ni mchaga na managing director ni mchaga.
Hata udsm kulikuwa kuna uchaga sana ili uwe lecturer hata kama una GPA ya ajabu lakini ukiwa mchaga tu ni kupigiana pasi. Ndo mana mmechanganyikiwa baada ya dili zenu za hivyo kugoma
Wachaga wamekufanya kitu mbaya wewe, kuna namna hapa sio bure, hili povu sio la nchi hii. wamekufanya nini hebu tujuze ndugu yangu?Hivi nyie wezi wa rasilimali za nchi mlitaka magufuli awachekee tu kisa hajui kesho itakuwa nani. Nchi ulikuwa imejaa wezi kila kono. Hata Dr bana siku hizi kakaa kimya mana miladi hewa ndo ulikuwa inamfanya kuifagilia sana ccm kwa kila jambo sasa imekata na yeye kachanganyikuwa pia. Magufuli usiteteleke huku mtaani tunaheshimiana sana na usawa umekuja na pia heshima ya wasomi imerudi. Zamani MTU anaungaunga elimu baada ya mda unamkuta crdb kisa ni mchaga na managing director ni mchaga.
Hata udsm kulikuwa kuna uchaga sana ili uwe lecturer hata kama una GPA ya ajabu lakini ukiwa mchaga tu ni kupigiana pasi. Ndo mana mmechanganyikiwa baada ya dili zenu za hivyo kugoma
Hili la kujenga uwanja Chato vipi nalo?Hajaiba ndo mana yuko serious na kudeal na vibaka mliotufisha hapa tulipo. Magufuli songa mbele sisi tunakuelewa Ila wapigaji hawawezi kukuelewa never. Kila kona ulikuwa ni deal tu. Utashangaa mhsibu akiajiliwa mwaka mmoja ana BMW na nyumba. Wizi ulikuwa umetamalaki. Siyo wewe tu uliyechanganyikiwa hata wabunge mwezi na wa madeal kama akina zitto na mnyika wa me cha gani kuwa pia
Kumbe mnafahamy kuwa kuna wezi wa rasilimali kwann msiwakamate kuna mahakama ya mafisadi washtakiwe?Hivi nyie wezi wa rasilimali za nchi mlitaka magufuli awachekee tu kisa hajui kesho itakuwa nani. Nchi ulikuwa imejaa wezi kila kono. Hata Dr bana siku hizi kakaa kimya mana miladi hewa ndo ulikuwa inamfanya kuifagilia sana ccm kwa kila jambo sasa imekata na yeye kachanganyikuwa pia. Magufuli usiteteleke huku mtaani tunaheshimiana sana na usawa umekuja na pia heshima ya wasomi imerudi. Zamani MTU anaungaunga elimu baada ya mda unamkuta crdb kisa ni mchaga na managing director ni mchaga.
Hata udsm kulikuwa kuna uchaga sana ili uwe lecturer hata kama una GPA ya ajabu lakini ukiwa mchaga tu ni kupigiana pasi. Ndo mana mmechanganyikiwa baada ya dili zenu za hivyo kugoma
Hii chuki inaanzia kwa bosi wake ila hawatafanikiwaHa ha haa,huyu jamaa anachuki sana na wachaga,ungekua ww ni Mungu nadhani ungewaua wote kwa roho mbaya Uliyonayo
Magufuli anawanyima raha sana,natamani tungekuwa tunajadili masuala na sio watu maana hii tabia ya kujadili na kushambulia watu iliicost CDM uchaguzi uliopita kwa sababu walikuwa wamemshambulia mamvi vya kutosha,tuache kujadili mtuLabda tu kama pua zake zinatizama juuuuu
Mbona wabunge ccm wamelamba bil 2.7 za serikali kama rushwa wapitishe muswada ila kimya na mahakama haina wateja?Mambo ni yaleyale katika sura mpya!Escrow sasa uchunguzi umefikisha miaka 2,yeye anasema hafukui makaburi,shwain,jinai ina ukomo?Hajaiba ndo mana yuko serious na kudeal na vibaka mliotufisha hapa tulipo. Magufuli songa mbele sisi tunakuelewa Ila wapigaji hawawezi kukuelewa never. Kila kona ulikuwa ni deal tu. Utashangaa mhsibu akiajiliwa mwaka mmoja ana BMW na nyumba. Wizi ulikuwa umetamalaki. Siyo wewe tu uliyechanganyikiwa hata wabunge mwezi na wa madeal kama akina zitto na mnyika wa me cha gani kuwa pia
Tayari na wewe ushajadili mtuMagufuli anawanyima raha sana,natamani tungekuwa tunajadili masuala na sio watu maana hii tabia ya kujadili na kushambulia watu iliicost CDM uchaguzi uliopita kwa sababu walikuwa wamemshambulia mamvi vya kutosha,tuache kujadili mtu