Ujumbe: Hakuna aijuaye Kesho...!

Ujumbe: Hakuna aijuaye Kesho...!

I am not very much sure if you have understood what Mr tangata has written. It appears you have a problem with uchaga. Do you want to tell us that it's only chagas who corrupted this nation? Was CCM run by chagas? What about the Gvt houses? Was that also done by chagas? Achana na ukabila wewe nchi hii ni ya watz wote. Vipi faru john naye wachanga?
 
Hivi nyie wezi wa rasilimali za nchi mlitaka magufuli awachekee tu kisa hajui kesho itakuwa nani. Nchi ulikuwa imejaa wezi kila kono. Hata Dr bana siku hizi kakaa kimya mana miladi hewa ndo ulikuwa inamfanya kuifagilia sana ccm kwa kila jambo sasa imekata na yeye kachanganyikuwa pia. Magufuli usiteteleke huku mtaani tunaheshimiana sana na usawa umekuja na pia heshima ya wasomi imerudi. Zamani MTU anaungaunga elimu baada ya mda unamkuta crdb kisa ni mchaga na managing director ni mchaga.
Hata udsm kulikuwa kuna uchaga sana ili uwe lecturer hata kama una GPA ya ajabu lakini ukiwa mchaga tu ni kupigiana pasi. Ndo mana mmechanganyikiwa baada ya dili zenu za hivyo kugoma
Ha ha haa,huyu jamaa anachuki sana na wachaga,ungekua ww ni Mungu nadhani ungewaua wote kwa roho mbaya Uliyonayo
 
Ujumbe mzuri,mzuri sana!!nikitizama issue ya Lema nawaza mengi sana.
 
Hivi nyie wezi wa rasilimali za nchi mlitaka magufuli awachekee tu kisa hajui kesho itakuwa nani. Nchi ulikuwa imejaa wezi kila kono. Hata Dr bana siku hizi kakaa kimya mana miladi hewa ndo ulikuwa inamfanya kuifagilia sana ccm kwa kila jambo sasa imekata na yeye kachanganyikuwa pia. Magufuli usiteteleke huku mtaani tunaheshimiana sana na usawa umekuja na pia heshima ya wasomi imerudi. Zamani MTU anaungaunga elimu baada ya mda unamkuta crdb kisa ni mchaga na managing director ni mchaga.
Hata udsm kulikuwa kuna uchaga sana ili uwe lecturer hata kama una GPA ya ajabu lakini ukiwa mchaga tu ni kupigiana pasi. Ndo mana mmechanganyikiwa baada ya dili zenu za hivyo kugoma
Wachaga wamekufanya kitu mbaya wewe, kuna namna hapa sio bure, hili povu sio la nchi hii. wamekufanya nini hebu tujuze ndugu yangu?
 
Hajaiba ndo mana yuko serious na kudeal na vibaka mliotufisha hapa tulipo. Magufuli songa mbele sisi tunakuelewa Ila wapigaji hawawezi kukuelewa never. Kila kona ulikuwa ni deal tu. Utashangaa mhsibu akiajiliwa mwaka mmoja ana BMW na nyumba. Wizi ulikuwa umetamalaki. Siyo wewe tu uliyechanganyikiwa hata wabunge mwezi na wa madeal kama akina zitto na mnyika wa me cha gani kuwa pia
Hili la kujenga uwanja Chato vipi nalo?
 
Hivi nyie wezi wa rasilimali za nchi mlitaka magufuli awachekee tu kisa hajui kesho itakuwa nani. Nchi ulikuwa imejaa wezi kila kono. Hata Dr bana siku hizi kakaa kimya mana miladi hewa ndo ulikuwa inamfanya kuifagilia sana ccm kwa kila jambo sasa imekata na yeye kachanganyikuwa pia. Magufuli usiteteleke huku mtaani tunaheshimiana sana na usawa umekuja na pia heshima ya wasomi imerudi. Zamani MTU anaungaunga elimu baada ya mda unamkuta crdb kisa ni mchaga na managing director ni mchaga.
Hata udsm kulikuwa kuna uchaga sana ili uwe lecturer hata kama una GPA ya ajabu lakini ukiwa mchaga tu ni kupigiana pasi. Ndo mana mmechanganyikiwa baada ya dili zenu za hivyo kugoma
Kumbe mnafahamy kuwa kuna wezi wa rasilimali kwann msiwakamate kuna mahakama ya mafisadi washtakiwe?

Najua una hasira ukipowa njoo nijibu
 
Labda tu kama pua zake zinatizama juuuuu
Magufuli anawanyima raha sana,natamani tungekuwa tunajadili masuala na sio watu maana hii tabia ya kujadili na kushambulia watu iliicost CDM uchaguzi uliopita kwa sababu walikuwa wamemshambulia mamvi vya kutosha,tuache kujadili mtu
 
Hajaiba ndo mana yuko serious na kudeal na vibaka mliotufisha hapa tulipo. Magufuli songa mbele sisi tunakuelewa Ila wapigaji hawawezi kukuelewa never. Kila kona ulikuwa ni deal tu. Utashangaa mhsibu akiajiliwa mwaka mmoja ana BMW na nyumba. Wizi ulikuwa umetamalaki. Siyo wewe tu uliyechanganyikiwa hata wabunge mwezi na wa madeal kama akina zitto na mnyika wa me cha gani kuwa pia
Mbona wabunge ccm wamelamba bil 2.7 za serikali kama rushwa wapitishe muswada ila kimya na mahakama haina wateja?Mambo ni yaleyale katika sura mpya!Escrow sasa uchunguzi umefikisha miaka 2,yeye anasema hafukui makaburi,shwain,jinai ina ukomo?
 
Magufuli anawanyima raha sana,natamani tungekuwa tunajadili masuala na sio watu maana hii tabia ya kujadili na kushambulia watu iliicost CDM uchaguzi uliopita kwa sababu walikuwa wamemshambulia mamvi vya kutosha,tuache kujadili mtu
Tayari na wewe ushajadili mtu
 
Back
Top Bottom