Ujumbe: Hakuna aijuaye Kesho...!

Ujumbe: Hakuna aijuaye Kesho...!

Mwaka ule Pinda akiwa waziri Mkuu, Magufuli alikuwa waziri aliamuru makao makuu ya TANESCO yabomolewe. Waziri Mkuu akakataa. Sasa Magufuli ni Rais , Pinda ni mkulima, jengo linavunjwa Na Pinda atapongeza ubomozi huo
 
Mwaka ule Pinda akiwa waziri Mkuu, Magufuli alikuwa waziri aliamuru makao makuu ya TANESCO yabomolewe. Waziri Mkuu akakataa. Sasa Magufuli ni Rais , Pinda ni mkulima, jengo linavunjwa Na Pinda atapongeza ubomozi huo
 
Back
Top Bottom