Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,085
- 165,855
no body knows tomorrow
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwaka ule Pinda akiwa waziri Mkuu, Magufuli alikuwa waziri aliamuru makao makuu ya TANESCO yabomolewe. Waziri Mkuu akakataa. Sasa Magufuli ni Rais , Pinda ni mkulima, jengo linavunjwa Na Pinda atapongeza ubomozi huo