Tatizo lenyewe likoje?, ni chunusi, ukurutu, madoa au ni nini? fafanua zaidi, unaweza ukawa una chunusi tu unataka uende mhimbiliWana JF naombeni msaada jinsi ya kumpata doctor bingwa wa magonjwa ya ngozi, au hospital nzuri yenye uzoefu na tatizo la ngozi, ninaisha hapa Dar es salaam.
Kwa mawasiliano: sms 0715266772 au e-mail erasto@comsec.co.tz
Asante sana
Wana JF naombeni msaada jinsi ya kumpata doctor bingwa wa magonjwa ya ngozi, au hospital nzuri yenye uzoefu na tatizo la ngozi, ninaisha hapa Dar es salaam.
Kwa mawasiliano: sms 0715266772 au e-mail erasto@comsec.co.tz
Asante sana
Hamna daktari Mzuri wa ngozi Tanzania kama unabisha waulize Wizara ya Afya wakati wanamuhangaikia Mwakyembe na walipokosa kabisa ikabidi wampeleke India.:rockon::rockon::rockon::rockon:
wapo dar mkuu,kesho nitawambia waende.thanx,ningekugongea like,ila na2mia simujaribu hindu mandar kama upo hapa dar kuna speacialist wa ngozi na ni dokta mzuri sana na kama upo moshi au arusha jaribu kcmc kuna dokta anaitwa dk for nae ni specialist wa ngozi, ngoja wngine nao. wakupe maujanja