Ujue Mti chonganishi

mshana jr nakukubali sana ila thread yako hii ni ya kupuuzwa
ukiamini sana mambo kama haya ndo mwanzo wa kuwa mshirikina

 
Mi najua tu ina mizizi mirefu inayoleta nyufa kwenye nyumba hii nlishashuhudia.Kwenye mafarakano ndo naskia leo.
 
Dah nimeukata juz tu
 
Mhhh!!
Kuna rafiki yangu mmoja kutoka nchi jirani aliwahi kiniambia kitu kama hiki miaka takribani 18 iliyopita, kwamba mizizi yake ikiingia kwenye nyumba na mwenye nyumba anakufa!
Sielewi inakuwaje pale unapokuwa umepandwa na jirani mshana jr!?

Jamaa ni wa kutoka Uganda? Maana kuna wakati miti ya aina hii ilipandwa na kukawa na vifo vingi vya wamiliki wa nyumba husika. Mwisho wa siku waka conclude kuwa miti ina mkosi, lkn wakati huo miti hii migeni katika nchi ya Uganda ilipandwa na vijana wenye kipato ambao wengi waliathirika na ujio wa AIDS na wakati huo matibabu yalikuwa hafifu hivyo wengi waliishia kufa na hitimisho likawa kuwa ni sababu ya MTI wakati siyo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…