Ujue Mti chonganishi

Hizi shuhuda zimenitisha mno
 
Hizi shuhuda zimenitisha mno
Mtani yule aunt yangu alikuwa na huo mti kwake, mti umekuwa mkubwa sana sana,

Siku hiyo binti yake wa miaka 8 ametoka shule, gari imemleta hadi gatin, mama mzazi yupo, baba mzazi yupo, bibi mzaa mama yupo na mjakazi pia yupo.

Mtoto kaingia ndani kama ilivyo kwa watoto atatupa beg sebuleni sweta koridoni, soksi huko viatu huko.

Kidogo mama anaingia ndani anashauti wewe mtoto weka nguo vizuri.

Mama kaondoka kidogo kwenda town wengine walibaki.

Kidogo mjakazi anaingia ndani anaita baba baba njoo muone huyu anapenda michezo ya hatari.

Baba anaingia ndani kukuta mtoto kaingia chumba cha bafu yaani pana room ya kuanika vinguo vyao vya ndani palikuwa na kakamba ka manila, yaani ile manila wameigiwa mara 3 hivyo kamba imefungwa ili waanike vinguo vyao vya ndani.

Mtoto kasimama juu ya kapu la kuweka nguo chafu kajinyonga, na kafa.

Mtaa mzima pamoja na wafiwa walitoa ile miti.

Hata kuni zake hakuna aliyetumia.

Continue Rest in Paradise mjukuu.
 
Mtoto kasimama juu ya kapu la kuweka nguo chafu kajinyonga, na kafa.
 
mkuu mshana ukiukata huo mti na ukafeli kuimaliza mizizi yake chini je! utakuwa hujafanya kitu apo? vipi baada ya kuikata aliyeikata hatopata madhara?
Kile kitendo tu cha kuukata ni nia tosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…