Ujue mkoa wa Mbeya kwa ufupi

Ujue mkoa wa Mbeya kwa ufupi

Screenshot_20210209-135921.png
 
Kama n kuishi yani kujenga nyumba yako nakuchagulia
Forest mpya- miaka ya 2015 kurud nyuma walikuwa wanajenga wastaafu na wenye mikwanja yao but ujio wa magufuli ukapiga marufuku ya matabaka hayo. Siku hiz sheria ukinunua uwanja bc jenga no kuukalisha bila kujenga. Akishindwa hapo bc aende Isyesye, kule majumba makubwa ni ya vijana wadogo tu, yani ukimwona lazima ujiulizie hivi hizo zote n mali zake? Hutaweza kupata majib na hutajua anafanyia kazi wapi, but inasadikika walio wengi kule wamebeba mali za mikataba. Wakubwa tu watanielewa hapa.🤣🤣
Uzunguni, Forest Mpya, Isyesye.
 
Back
Top Bottom