mo courtinho
Senior Member
- Mar 18, 2017
- 198
- 145
Hebu na wewe tunga utunzi wako ufanikiwe.hakuna ujinga kama huu,hakujawahi kuwepo yesu,ni utunzi mwanana wa warumi na wamefanikiwa kuwapumbaza watu wengi sana!!!
Kichaa ni mtu anayesema kuna Mungu bila kuwa na ushahidi.ukikuta mtu haamini katika uwepo wa Mwenyezi Mungu muumba wa kila kitu,without the shadow of doubt huyo ni mtu ni kichaa
Mkuu Wazungu walikuwa wapagani kama waafrika na wao ndo walianza kuamini Ukristo wakauleta na Africa.Biblia ina contradiction kwako kwa sababu huielewi.Hata nikikupa kitabu cha wachawi hutakielewa maana Unatumia akili yako ya kawaida na hauko kwenye position.Biblia ni spiritual matters tafiti....sio Abbott au V.k Stroud.hawakuwa na imani yoyote,walipovami misri na kukuta imani ya watu weusi wsliamua kuiba maandko na kutengeneza biblia,uzuri hawakuwa smart sana kwenye kuiga,biblia imejaa contradiction za kijinga jinga sana
Mkuu Wazungu walikuwa wapagani kama waafrika na wao ndo walianza kuamini Ukristo wakauleta na Africa.Biblia ina contradiction kwako kwa sababu huielewi.Hata nikikupa kitabu cha wachawi hutakielewa maana Unatumia akili yako ya kawaida na hauko kwenye position.Biblia ni spiritual matters tafiti....sio Abbott au V.k Stroud.
hujui kitu wewe,waafrika walikuwa na imani(soma the book of the coming forth,wazungu wanakiita book of the dead) uone hao wazungu walivyocopy and paste hicho kitabu(hayo maandiko yalikuwepo zaidi ya miaka 5000 kabla ya biblia feki)...kama unahitaji nikupe contradiction kumi za kwenye biblia...wazungu hawakuwa smart walipokuwa wanacopy ile papyrus.,achana na ujinga wa kuamini uzushi wa wazungu blackmanMkuu Wazungu walikuwa wapagani kama waafrika na wao ndo walianza kuamini Ukristo wakauleta na Africa.Biblia ina contradiction kwako kwa sababu huielewi.Hata nikikupa kitabu cha wachawi hutakielewa maana Unatumia akili yako ya kawaida na hauko kwenye position.Biblia ni spiritual matters tafiti....sio Abbott au V.k Stroud.
because i am no liar so i can not create and spread lies like white people bewitched you with the word of yahwe and the bible...wake up!!!Hebu na wewe tunga utunzi wako ufanikiwe.
Unajua mahakamani unaweza ukapeleka ushahidi kabisa na ukakataliwa ikiwa umeupata ushahidi huo kinyume cha taratibu.Kichaa ni mtu anayesema kuna Mungu bila kuwa na ushahidi.
Kwahiyo wazungu ambao unasema wao walikuwa hawana imani ina maana walipotengeneza hiyo biblia feki na ndipo walipoonza kuitumia na kuanziisha kuwa na imani kwa mara ya kwanza?hujui kitu wewe,waafrika walikuwa na imani(soma the book of the coming forth,wazungu wanakiita book of the dead) uone hao wazungu walivyocopy and paste hicho kitabu(hayo maandiko yalikuwepo zaidi ya miaka 5000 kabla ya biblia feki)...kama unahitaji nikupe contradiction kumi za kwenye biblia...wazungu hawakuwa smart walipokuwa wanacopy ile papyrus.,achana na ujinga wa kuamini uzushi wa wazungu blackman
Wewe uliwai kumwona huyo YesuWewe ni Imani gani? Ni nini legacy ya babu zetu?? Kisayansi labda!! Ni nini tunachoweza kujisifia kwa babu zetu!## ni uchawi,,uganga,,uvivu na kuoa na kuchunga mifugo?? Je hata sasa hivi unahisi tutawaachia nini kizazi kijacho?? Bora hata ungechagua imani tu uwaachie urithi watoto wako la sivyo utakuwa kama babu zako...Yesu sio mtu hata aeleweke kwa akili ya kawaida.
Mbona mwisho wa siku aliokoka before hajafariki? Aliaminije sasa hii habari ya YesuManeno ya Marehemu Remmy Ongala katika wimbo wa Kilio ukiyasikiliza kwa makini yanaleta hoja nzuri nzuri juu ya mapokeo ya dini, ujio wa Yesu na namna wakoloni walivyotuchota na kutulisha matango pori yao hadi leo tunayatumia.
Vitabu vingi vya dini vimeanza kuandikwa na wao, Hatuna mtu, tulikuwa na dini zetu wakatuambukiza za kwao kwamba zetu hazifai, ujio wa Yesu hadi leo hatokeii vitabu vya dini vinaandika anakuja yu karibu kuanzia miaka mingi iliyopita vizazi na vizazi vimepita tunazaliwa, tunakua na kuzeeka, tunakufa lakini haji. Sasa hii ya anakuja yuko karibu ni nini! Au ndo njia wazungu walizotumia kututuliza ili watutawale vizuri.
Kwa njia hizi naamini wazungu ndo wamechangia asilimia 100 kuturudisha nyuma wenyewe wanaendelea na mpaka leo wanatutawala kutumia vitu mbalimbali wanavyotuletea na misaada. Hivi tumerogwa au tumejiroga! Hatuwezi kurudi kwenye dini za babu zetu.
Wazungu tu ndo walibarikiwa kuonana na Mungu na kuwapa maneno ya kutuandikia sisi. Njia nyingine za kututawala bana!Mababu zetu walikuwa wepesi kiasi hiki kununulika na maneno ya matumaini.
Ngoja tuendelee kumsubiri Yesu bana dah!
Song: Remmy-Kilio
wale waasisi kimsingi sio kwamba walianzisha ukristo kwa ajili ya kuwa na imani na kwenda peponi au vitu kama hivyo,walianzisha ukristo kama chombo muhimu kucontrol watu,na walianza kuenforce hiyo version yao ya ukristo misri walipoiba maandiko,hii ilikuwa muhimu kutawala wakati ule,wazungu wa sasa hivi wengi wanaujua ukweli huu,wavivu ndio wanajifanya kumjua yesu...hakujawahi kuwepo kitu yesu..it is a make up story..rejea uzi wangu humu humu kuhusu ufeki wa biblia na yesu...nakumbuka na wewe ulikuwa mchangiaji kwenye ule uzi,nilitoa shule mubashara.Kwahiyo wazungu ambao unasema wao walikuwa hawana imani ina maana walipotengeneza hiyo biblia feki na ndipo walipoonza kuitumia na kuanziisha kuwa na imani kwa mara ya kwanza?
Linanitatiza hili suala la wazungu kutokuwa na imani yeyote maana hata afrika tulikuwa na imani zetu.wale waasisi kimsingi sio kwamba walianzisha ukristo kwa ajili ya kuwa na imani na kwenda peponi au vitu kama hivyo,walianzisha ukristo kama chombo muhimu kucontrol watu,na walianza kuenforce hiyo version yao ya ukristo misri walipoiba maandiko,hii ilikuwa muhimu kutawala wakati ule,wazungu wa sasa hivi wengi wanaujua ukweli huu,wavivu ndio wanajifanya kumjua yesu...hakujawahi kuwepo kitu yesu..it is a make up story..rejea uzi wangu humu humu kuhusu ufeki wa biblia na yesu...nakumbuka na wewe ulikuwa mchangiaji kwenye ule uzi,nilitoa shule mubashara.
mkuu somo la wazungu jinsi walivyoibuka ni refu kidogo,lakini kimsingi civilization imeanzia africa na misri(kemet) ndio chimbuko,wagiriki na badae warumi walipovamia misri walikuta watu weusi wakipractice imani ambayo badae wazungu waliikopi na kuiita ukristo,hakukuwepo mungu anayeitwa yahwe/yehova wala allah.Linanitatiza hili suala la wazungu kutokuwa na imani yeyote maana hata afrika tulikuwa na imani zetu.
Kwa maana hiyo hata kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja pia wasio amini dini wana maendeleo kiasi kikubwa kuliko wenye kuamini dini?
Hebu fafanua.
Well said. Congrats. Ndiyo walewale wa kila siku m niombeeni wakati sisi hatujui na wala hauko tayari kukiri madhaifu yako. What if ulishawahi kuua mtu tukikuombea dhambi ya kiburi hauwezi kupona kwa sababu tunachoombea sicho. Wanachosahau ni kwamba kufa kwa Yesu pale msalabani pazia lililokuwa likifunika patakatifu pa patakatifu lilipasuka na tangu hapo mahusiano ya mwanadamu na Mungu ni ya mtu binafsiWewe ni Imani gani? Ni nini legacy ya babu zetu?? Kisayansi labda!! Ni nini tunachoweza kujisifia kwa babu zetu!## ni uchawi,,uganga,,uvivu na kuoa na kuchunga mifugo?? Je hata sasa hivi unahisi tutawaachia nini kizazi kijacho?? Bora hata ungechagua imani tu uwaachie urithi watoto wako la sivyo utakuwa kama babu zako...Yesu sio mtu hata aeleweke kwa akili ya kawaida.
Maneno ya Marehemu Remmy Ongala katika wimbo wa Kilio ukiyasikiliza kwa makini yanaleta hoja nzuri nzuri juu ya mapokeo ya dini, ujio wa Yesu na namna wakoloni walivyotuchota na kutulisha matango pori yao hadi leo tunayatumia.
Vitabu vingi vya dini vimeanza kuandikwa na wao, Hatuna mtu, tulikuwa na dini zetu wakatuambukiza za kwao kwamba zetu hazifai, ujio wa Yesu hadi leo hatokeii vitabu vya dini vinaandika anakuja yu karibu kuanzia miaka mingi iliyopita vizazi na vizazi vimepita tunazaliwa, tunakua na kuzeeka, tunakufa lakini haji. Sasa hii ya anakuja yuko karibu ni nini! Au ndo njia wazungu walizotumia kututuliza ili watutawale vizuri.
Kwa njia hizi naamini wazungu ndo wamechangia asilimia 100 kuturudisha nyuma wenyewe wanaendelea na mpaka leo wanatutawala kutumia vitu mbalimbali wanavyotuletea na misaada. Hivi tumerogwa au tumejiroga! Hatuwezi kurudi kwenye dini za babu zetu.
Wazungu tu ndo walibarikiwa kuonana na Mungu na kuwapa maneno ya kutuandikia sisi. Njia nyingine za kututawala bana!Mababu zetu walikuwa wepesi kiasi hiki kununulika na maneno ya matumaini.
Ngoja tuendelee kumsubiri Yesu bana dah!
Song: Remmy-Kilio