Hahaha…wacha wivu mzee. Kwa hiyo unaona afadhali mwarabu aibe kuliko mswahili mwenzio? Au kwa vile mwarabu anaiba kwa baraka za CCM?Ufisadi sasa baaasi!
Vikampuni uchwara vyote violivyokuwa vinachota hela kijanjajanja hapo bandarini sasa tafuteni mashamba mje mlime matikiti..
Mwarabu anakuja kuziba mianya yote ya uhuni, wizi na utapeli hapo bandarini
Mswahili mweusi ana nyodo sana. Anatanua mapafu mitaani kumbe hela zenyewe kaiba.Kwa hiyo unaona afadhali mwarabu aibe kuliko mswahili mwenzio?
Hata mwarabu anatanua. Sema tuu humuoni maana yupo DubaiMswahili mweusi ana nyodo sana. Anatanua mapafu mitaani kumbe hela zenyewe kaiba.
Hawana jicho la kuona mbaliKwa kifupi hao uliowataja ilitakiwa waandame siku Ile ya maandamano
Watu wenye fikra zako ndiyo Dhahabu Nyeusi anawaita qwnye ujinga, bofya chini hapo ukajionee:Hahaha…wacha wivu mzee. Kwa hiyo unaona afadhali mwarabu aibe kuliko mswahili mwenzio? Au kwa vile mwarabu anaiba kwa baraka za CCM?