Mzee Kibiongo
JF-Expert Member
- Jun 18, 2008
- 241
- 4
Itakuwa jambo jema ikiwa wapambanaji wa CCJ baada ya kujiengua kutoka CCM wakashirikiana katika uchaguzi 2010 ili kupata wabunge wengi. Washirikiane katika kampeni nchi nzima. Pia waachiane majimbo pale ambapo upande mmoja unanguvu kuliko mwingine. Kwa hiyo nina wahimiza wabunge wote wa CCM wanaotaka maendeleo katika nchi yetu waondoke CCM, waingie CCJ na kisha waimarishe kambi ya upinzani
Mzee wa Kiraracha kasema....................................CCJ ni chui wa karatasi.........Hahahahahahaaaaaaaaaa !!!!!!!!!!!!!!