Ujinga wanaofanya watu wa parking za mjini

Ujinga wanaofanya watu wa parking za mjini

wikel

New Member
Joined
Jul 25, 2016
Posts
1
Reaction score
1
Huwa kuna sehemu maeneo ya Mnazi mmoja kuna kama chuo kidogo huwa naenda , darasa ni kwa saa moja Huwa mara chache naenda na gari, ila Kuna kitu hakipo sawa, yaani haiwezekani nipaki kwa saa halafu bili ije 5000

Hicho chuo kipo kama gorofani, juzi wakati nashuka nakuta mtu wa parking yupo na simu yake anarekodi tu magari aliyokwisha kuyapiga picha tayari bila kujua hilo gari limeondoka au laaa

Sasa mi naamini ipo hivi, kama usipongea nae ukampooza hata buku ili asikuscani Yani wewe ndo utabeba gharama ya hiyo slot siku nzima

Serikali tunaomba macho kwenye hili
 
Back
Top Bottom