Kiboko Yenu
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 311
- 65
wanazaa watoto wengi na hovyo hovyo ambao wanashindwa mpaka kuwahudumia matokeo yake wanakaa kulaumu hovyo oh maisha magumu nashindwa somesha familia kama wangekuwa wachache wasingelaumu
i kweli hata mimi hua nashangaa sana mtu hana kazi ila ana watoto nane na wake wawili
wanazaa watoto wengi na hovyo hovyo ambao wanashindwa mpaka kuwahudumia matokeo yake wanakaa kulaumu hovyo oh maisha magumu nashindwa somesha familia kama wangekuwa wachache wasingelaumu
...huwezi jua, kati ya hao nane mmoja aweza "watoa" kimasomaso wazazi wake...
tajiri na mali zake, maskini na watoto--- aliimba Remmy Ongala (R.I.P)
Mbu umenifanya nicheke :lol:
wanasema kila mtoto anazaliwa na bahati yake hivoo!!!
wanazaa watoto wengi na hovyo hovyo ambao wanashindwa mpaka kuwahudumia matokeo yake wanakaa kulaumu hovyo oh maisha magumu nashindwa somesha familia kama wangekuwa wachache wasingelaumu
i kweli hata mimi hua nashangaa sana mtu hana kazi ila ana watoto nane na wake wawili
...huwezi jua, kati ya hao nane mmoja aweza "watoa" kimasomaso wazazi wake...
tajiri na mali zake, maskini na watoto--- aliimba Remmy Ongala (R.I.P)
Mkuu hueleweki, nikionacho hapa ni wewe kutokwa na mapovu mdomoni! Hakuna mzazi anaezaa hovyo hovyo, Acha ubaguzi usio na msingi. Maisha ni Magumu kweli.
"Riziki" yake mpenzi, lol...
Ndo wanachoamini japo hakina ukweli ndani yake