Du me nakumbuka nilikuwa naoga kwa hiari yangu tukipika bweche na mandondo,nilikuwa nafurahi sana hasa ninapomuona mama anachambua mchele,siku hiyo naoga mapema sana alafu nikitumwa nachangamka kinoma,lakini kama ni vyakula vingine sionekani kabisa kuoga kwenyewe mpaka nilazimishwe,yaani nikikumbuka huwa nacheka sana.
Mimi kila nilipokuwa nasikia kuna mtu kakatwa mapanga najiuliza kwa nini Mungu asingetuumba wa chuma, du sasa hivi najiuliza tungeumbwa wa chuma sijui ingekuwaje.
Du me nakumbuka nilikuwa naoga kwa hiari yangu tukipika bweche na mandondo,nilikuwa nafurahi sana hasa ninapomuona mama anachambua mchele,siku hiyo naoga mapema sana alafu nikitumwa nachangamka kinoma,lakini kama ni vyakula vingine sionekani kabisa kuoga kwenyewe mpaka nilazimishwe,yaani nikikumbuka huwa nacheka sana.[sisi kwetu cku ukipkwa wali unabakisha punje moja karibu na mdomo halafu unaenda kuwalingishia wenzio basi hapo wanakuonea wivu ile mbaya ]
Mimi kila nilipokuwa nasikia kuna mtu kakatwa mapanga najiuliza kwa nini Mungu asingetuumba wa chuma, du sasa hivi najiuliza tungeumbwa wa chuma sijui ingekuwaje.
Mimi kila nilipokuwa nasikia kuna mtu kakatwa mapanga najiuliza kwa nini Mungu asingetuumba wa chuma, du sasa hivi najiuliza tungeumbwa wa chuma sijui ingekuwaje.
Du me nakumbuka nilikuwa naoga kwa hiari yangu tukipika bweche na mandondo,nilikuwa nafurahi sana hasa ninapomuona mama anachambua mchele,siku hiyo naoga mapema sana alafu nikitumwa nachangamka kinoma,lakini kama ni vyakula vingine sionekani kabisa kuoga kwenyewe mpaka nilazimishwe,yaani nikikumbuka huwa nacheka sana.
Du usinikumbushe wali na maharage, ilikuwa tukishakula usiku tunaenda kulala, usiku wa manane mtu kadhaa mnagongana jikoni mmeurudia, teh teh teh................. utoto bwana
by Shine
Hapa kwenye beche tulikuwa wengi hee!