Ujinga tutaacha lini?

Ujinga tutaacha lini?

Nakumbuka nyakati zile kuna id ya Da Vinci ilikuwa kama ya huyu De Gunner wa siku hizi. Ilikuwa inachangamoto sana na mishangazi ya wakati huo.
We jamaa acha kunifananisha na taka taka

Hakuna kiumbe kama mimi humu
 
Daah wakuu mm sifanani chochote na huyu kijana labda mnafananisha ID. And sijawahi kutafuta mishangazi humu.
Yupo mtu anaitwa @DavinciXIV labda ndo mwamfananisha nae ila sio mimi.
Na wewe ndo wale wale kuna siku umevujisha DM za watu humu, nikakuuliza unapata wapi access ukakosa majibu...

Wewe ndo ambaye unatafuta Kiki kupitia mimi, mshamba wewe
 
Hii kazi ya mtu kupost kitu JF mnaanza kusema huyu ni mwanamke anakuja kiume, cjui ni mwanamme anakuja kike kike muache. Mfano mim ni me afu mtu kabisa na akili zake anasema mimi n dem pumbavu zenu. Hiyo sensor ya kuhesabu wanaume na wanawake nani kawapa? Kama huna cha kukoment achana nayo na sio kuleta mambo ya kidwanzi mbele zangu vichwa mandazi nyie.

Leta mapovu yenu niwatoe nyoro hapa. Akili mnajitoa hambakizi hata za kuvukia barabara. Hapa hakuna mtu anamnunulia mtu simu au bundle aje jf kupangiwa cha kupost mbwa nyie.
Chapisho lako tu linaonyesha una mmbo ya ke
 
Back
Top Bottom